Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

887 results for Thobias Sebastian :

  1. Simba yavuta winga, kutua Dar leo

    WAKUBWA wawili wa Simba wapo Ghana kutafuta mashine mpya zitakazokuja kuongeza makali ya kikosi hicho, lakini za moto kabisa ni kwamba kesho Ijumaa kuna kitu kinatua Dar es Salaam kutoka Kenya.

  2. Yanga ni mwendo wa dozi mpaka Polisi

    Mabingwa wa Ligi Kuu NBC Yanga imeendeleza rekodi ya kucheza mchezo wa mzunguko 28, bila kupoteza baada ya kuifunga Polisi Tanzania mabao 2-0 kwenye mchezo wa leo.

  3. Yanga yaanza na mabadiliko watatu

    Saa 12:30 jioni mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga itakuwa na mchezo wa mzunguko wa 27, dhidi ya Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

  4. Kocha mpya Simba ni huyu...

    BILIONEA wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji ameondoka nchini juzi Jumapili kwenda Dubai, huku nyuma akiweka mazingira mazuri kwa mabosi wa klabu hiyo katika kukisuka kikosi cha timu hiyo, lakini utamu...

  5. Kyombo asaini miwili Simba

    BAADA ya kumalizana na Moses Phiri kutoka Zanaco ya Zambia ikimpa mkataba wa kuitumikia Simba, mabosi wa timu hiyo hawajalala kwani wamenasa mashine nyingine mpya kwa ajili ya msimu ujao.

  6. Phiri: Makombe yanakuja, atoa ramani ya kubeba CAF

    STRAIKA mpya wa Simba, Mzambia Moses Phiri amewaambia mashabiki kwamba lengo lake la kwanza ni kubeba makombe.

  7. Muda wowote wanatua....

    IMEBAKIA mizunguko minne kabla ya Ligi Kuu Bara kumalizika, huku baadhi ya timu zikianza maandalizi ya msimu ujao hasa usajili. Kuna baadhi ya nyota kutoka ndani na nje ya nchi wamezivutia...

  8. Morrison aitingisha Simba

    YANGA imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Asec Mimosas, Stephano Ki Aziz wakati huo huo taarifa za ndani ya klabu hiyo zinaeleza imekamilisha usajili wa Benard Morrison kutoka Simba.

  9. Nabi: Kwa silaha hizi mtakoma, amtaja Aziz Ki, Morrison

    INGAWA Yanga hawajatangaza rasmi kumsajili winga Bernard Morrison, lakini habari za ndani na uhakika ni kuwa winga huyo ambaye msimu huu ameitumikia Simba yupo tayari kumwaga wino kwenye yake...

  10. Kibu: Tulieni muone mambo!

    KIKOSI cha Simba kinaendelea kujiwinda na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City na jana asubuhi ilicheza mechi ya kirafiki na Cambiaso na kuifunga mabao 3-2, huku mshambuliaji wao kinara wa...

Previous

Page 22 of 89

Next