WANAUMEEE! Haya ndio majeshi ya Mapinduzi 2026 MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2026 inaanza rasmi leo kwa kupigwa mechi mbili za Kundi A ikianza ile ya watetezi Mlandege dhidi ya Singida Black Stars saa 10:15 jioni kabla ya saa 2:30 usiku Azam...
Mane achomoa kuiokoa Senegal isichapwe Afcon 2025 SENEGAL imetokea nyuma kusawazisha bao dhidi ya DR Congo katika mchezo wa Kundi D la Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025, huku timu zote mbili zikikaribia hatua ya 16 bora. Cedric Bakambu...
Wasaudia waanza kumnyemelea Lewandowski MSHAMBULIAJI wa Barcelona na timu ya taifa ya Poland, Robert Lewandowski, 37, anaweza kushawishika kuhamia Ligi ya Saudi Arabia ikiwa Barca itaendelea kushikilia msimamo wa kuachana naye mwisho...
Benin yaichapa Botswana, yazoa pointi muhimu BAO la kipindi cha kwanza lililofungwa na Yohan Roche lilitosha kuipa Benin ushindi wao wa kwanza kwenye mashindano ya Afcon 2025 baada ya kuichapa Botswana 1-0 katika mchezo wa Kundi D...
Chelsea kufungulia geti mastaa sita CHELSEA itawafungulia mlango wa kutokea mastaa kibao wa Chelsea dirisha la Januari baada ya kuripotiwa wachezaji wasiopungua sita wataondoka Stamford Bridge.
Mo Salah, Mahrez wakabana koo KABLA ya mechi za jana Jumamosi za michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zilizohusisha timu za makundi ya C na D tayari jumla ya mabao 34 yalikuwa yamefungwa katika mechi 16 ikiwa...
Owen: Shearer? Sina stori naye MICHAEL Owen amesema amekuwa hazungumzi na Alan Shearer baada ya kudai alifanya makosa kumkosoa wakati alipokuwa akicheza chini yake huko Newcastle United.
Tom Saintfiet alilia penalti kwa Morocco KOCHA mkuu wa Mali, Tom Saintfiet amekosoa uamuzi wa marefa walioichezesha timu hiyo dhidi ya wenyeji Morocco na kutoka nao sare ya bao 1-1, katika mechi ya raundi ya pili ya hatua ya makundi ya...
Broos: Hata Salah ameishangaa ile penalti BAFANA Bafana ilipata kipigo cha kuumiza juzi jioni kutoka kwa Misri iliyokuwa na wachezaji 10 katika mechi ya Kundi B ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025, lakini kocha amefichua alichozungumza na...
Pep Guardiola, Semenyo lolote linatokea PEP Guardiola atakuwa bize dirisha la Januari huku staa Antoine Semenyo akiripotiwa kuwa kwenye orodha ya wachezaji inayopanga kuwasajili katika uhamisho huo wa majira ya baridi huko Ulaya.