Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8717 results for Mwandishi :

  1. Curtis Jones: Liverpool tupo kwenye hali mbaya, tujitafakari

    Kiungo wa Liverpool, Curtis Jones, ametoa wito kwa wachezaji wenzake baada ya timu hiyo kupokea kichapo kizito kutoka kwa PSV jana Jumatano, Novemba 26, 2025 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

    JONES Pict
  2. Gerrard: Liverpool hakuna visingizio

    LEJENDI wa Liverpool, Steven Gerrard amesema hakuna 'visingizio' kutokana na msururu mbaya wa matokeo ya timu hiyo.

    GERRARD Pict
  3. Mabosi Man United wakiri kuna shida

    MABOSI wa Manchester United wamekubali kikosi cha timu hiyo bado kina upungufu licha ya kusajili wachezaji kadhaa kwa Pauni 200 milioni dirisha lililopita la majira ya kiangazi.

    MAN UTD Pict
  4. Mashabiki Young Boys wakinukisha Villa Park, Malen ajeruhiwa

    Mshambuliaji wa Aston Villa, Donyell Malen, amepata jeraha kichwani baada ya kugongwa na kikombe katika mechi ya Europa League dhidi ya Young Boys, iliyopigwa jana Alhamisi, Novemba 27, 2025...

    YOUNG Pict
  5. PSG kuiharibia Barcelona kwa Rashford

    LICHA ya kuonyesha nia ya kuendelea kusalia Barcelona na kusaini mkataba wa kudumu, ripoti zinadai Paris Saint-Germain imeingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili mshambuliaji Marcus Rashford...

    RASHFORD Pict
  6. Kocha Man United kuondoa watatu Januari 2026

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim yupo tayari kuruhusu wachezaji watatu kuondoka dirisha lijalo la usajili la Januari.

    AMORIM Pict
  7. Rooney: Alexander Isak ajilaumu mwenyewe

    GWIJI, Wayne Rooney amesema hana huruma kwa straika Alexander Isak, akidai mchezaji huyo ndiye wa kujilaumu mwenyewe baada ya kushuhudia uhamisho wake wa kuvunja rekodi ya Uingereza kwenda...

    ROONEY Pict
  8. Carrick anajua hawezi kupata zali la Solskjaer

    MICHAEL Carrick anasisitiza kuwa Manchester United haitafanya mabadiliko ya ghafla au ya pupa kuhusu nafasi yake kama kocha mkuu, kama ilivyofanya hapo awali kwa Ole Gunnar Solskjaer.

  9. Sneijder achambua kinachomtesa Wirtz

    STAA wa zamani wa Real Madrid na Galatasaray, Wesley Sneijder amefunguka kumzungumzia kiungo ghali wa Liverpool, Florian Wirtz, ambaye amesema amekuwa kwenye wakati mgumu kuzoea mazingira ya Ligi...

    WITRZ Pict
  10. Jeremy Doku awapagawisha makocha

    KIWANGO bora cha Jeremy Doku wa Manchester City kwenye mechi ya Liverpool kimewakosha makocha wa timu zote mbili na kummwagia sifa kwa kile alichofanya uwanjani.

    DOKU Pict
Previous

Page 201 of 872

Next