Simba v Singida BS ni mechi ya kisasi, utamu uko hapa NGOJA TUONE. Baada ya kupoteza mechi mbili dhidi ya Simba katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars leo ina nafasi ya kulipa kisasi katika pambano la nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA)...
PRIME Mutale afichua siri Msimbazi WINGA Joshua Mutale amekuwa mtamu kama mcharo. Kwa wanaokumbuka wakati anatua Msimbazi kutoka Power Dynamos ya Zambia, jina lake lilibeba matumaini.
PRIME Aziz KI amuibua beki wa zamani NYOTA wa zamani wa Yanga, Haji Mwinyi Ngwali, ameshindwa kujizuia na kuibuka akiwatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuhusu kuondoka kwa kiungo mahiri, Stephane Aziz KI, kwa kusema klabu hiyo bado...
Singida BS yapoteza tena dhidi ya Simba, vita bado mbichi MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Uganda, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha thamani yake ndani ya Simba SC kwa kufunga bao pekee lililoiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...
PRIME Kocha Berkane aondoka na jina la staa huyu Simba KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1...
PRIME Fadlu atoa kauli nzito CAF SIMBA imeumia. Mashabiki wamebeba majonzi. Viongozi wamesalia na maswali. Lakini katikati ya huzuni hii nzito, moto mpya unawashwa Msimbazi. Moto wa mageuzi. Moto wa kulipiza kisasi kwa njia ya...
Morrison: Simba ilistahili ubingwa NYOTA wa zamani wa Simba na Yanfa, Bernard Morrison, amefunguka baada ya Wekundu kushindwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, licha ya juhudi kubwa ilizoonyesha dhidi ya RS Berkane ya...
Simba ilivyokiwasha Amaan Complex SIMBA licha ya kushindwa kubeba ubingwa wa kwanza wa Afrika baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na RS Berkane ya Morocco, imeendeleza rekodi ya kutopoteza mechi yoyote nyumbani msimu huu...
Fadlu: Changamoto zimetukomaza, tutarudi kivingine KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amesema pamoja na kupoteza nafasi ya kutwaa Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane, kikosi hicho kimeonyesha ukuaji mkubwa wa kiakili na kimchezo kutokana...
Tshabalala: Tumepambana tatizo refa NAHODHA wa timu ya Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala', amesema licha ya juhudi kubwa walizoweka uwanjani kuhakikisha wanatwaa Kombe la Shirikisho Afrika, ndoto hiyo ilizimwa na maamuzi tata ya...