KSI; Tajiri mwenye mishe nyingi za kupiga hela MWISHONI mwa wiki iliyopita, jina la KSI lilitikisa tena mitandao baada ya kampuni yake ya vinywaji, PRIME Hydration, kutajwa kama moja ya bidhaa za vinywaji zinazobamba sana Ulaya na Marekani.
Okocha: Ile ya Osimhen, Lookman safi sana NAHODHA wa zamani wa Super Eagles na fundi wa boli, Jay-Jay Okocha amesema mvutano uliopo kati ya Victor Osimhen na Ademola Lookman una manufaa makubwa kwa timu ya taifa ya Nigeria hasa katika...
Utabiri wa Opta wazua mjadala AFCON 2025 UTABIRI uliotolewa na mtandao wa kimataifa wa takwimu Opta Jumapili jioni umezua mjadala na mabishano makubwa kabla ya mechi za nusu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kuzipa...
Makocha wa Kiafrika wanavyotesa Afcon 2025 KWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), timu zote zilizofuzu nusu fainali za toleo la 2025 zinaongozwa na makocha wa Kiafrika. Mafanikio haya ya kipekee...
Xabi Alonso apigwa chini Real Madrid XABI ALONSO ameachana na Real Madrid siku moja baada ya kupoteza fainali ya Super Cup dhidi ya Barcelona. Taarifa ya klabu imesema uamuzi wa kocha huyo mwenye umri wa miaka 44 kuondoka ulifanywa...
Guehi aikataa Man City, Arsenal, Liverpool zatajwa BEKI wa Crystal Palace, Marc Guehi inadaiwa kukataa kujiunga na Manchester City na badala yake anataka kujiunga na Arsenal au Liverpool ambazo zimeonyesha nia ya kumsajili dirisha la majira ya...
Mastaa Man Utd waambiwa tiketi ya Ulaya ni lazima MASTAA wa Manchester United wameambiwa kwamba kufuzu michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ndio malengo ya timu hiyo kwa msimu huu.