Safari imeiva, Bruno aletewa mtu NDO hivyo. Lisemwalo ni miamba ya soka ya Saudi Arabia, ambayo ni Al-Hilal, Al-Nassr na Al-Ittihad imedhamiria kutua Old Trafford dirisha lijalo la majira ya kiangazi kumnasa Bruno Fernandes.
Riyad Mahrez aweka shilingi yake Nigeria NAHODHA wa Algeria, Riyad Mahrez ameitaja timu ya taifa ya Nigeria kuwa miongoni mwa vinara wa kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON).
KSI; Tajiri mwenye mishe nyingi za kupiga hela MWISHONI mwa wiki iliyopita, jina la KSI lilitikisa tena mitandao baada ya kampuni yake ya vinywaji, PRIME Hydration, kutajwa kama moja ya bidhaa za vinywaji zinazobamba sana Ulaya na Marekani.
Okocha: Ile ya Osimhen, Lookman safi sana NAHODHA wa zamani wa Super Eagles na fundi wa boli, Jay-Jay Okocha amesema mvutano uliopo kati ya Victor Osimhen na Ademola Lookman una manufaa makubwa kwa timu ya taifa ya Nigeria hasa katika...
Utabiri wa Opta wazua mjadala AFCON 2025 UTABIRI uliotolewa na mtandao wa kimataifa wa takwimu Opta Jumapili jioni umezua mjadala na mabishano makubwa kabla ya mechi za nusu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kuzipa...
Makocha wa Kiafrika wanavyotesa Afcon 2025 KWA mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), timu zote zilizofuzu nusu fainali za toleo la 2025 zinaongozwa na makocha wa Kiafrika. Mafanikio haya ya kipekee...