SCORPION STYLE: Zao la mbwembwe za Higuita uwanjani SEPTEMBA 6, 1995 England ilitoka suluhu (0-0) na Colombia katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Wembley.
Dickson Job nje miezi miwili Yanga KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amethibitisha kwamba, nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job, hatakuwa sehemu ya mechi ya kesho Alhamisi dhidi ya Singida Black Stars kufuatia kuumia...
Steven Gerrard aikosoa Liverpool baada ya kipigo cha Wolves Nguli wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, ameikosoa vikali klabu yake hiyo kufuatia kipigo cha mabao 2-1 walichopata dhidi ya Wolves katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa jana usiku...
Ronaldo yupo Saudi Arabia, Al-Nassr yatoa ufafanuzi Klabu ya Al-Nassr imethibitisha kuwa nahodha wake, Cristiano Ronaldo, bado yupo Saudi Arabia, ikikanusha tetesi zilizoenea kuwa ameondoka Mashariki ya Kati kufuatia kuongezeka kwa mashambulizi...
Sinners yamsogeza karibu Jordan katika Oscars MWIGIZAJI wa Marekani, Michael B. Jordan, amepata ushindi wa kushtukiza katika tuzo za Actor (zamani zikijulikana kama Screen Actors Guild Awards), hali iliyompa nguvu mpya katika wiki za mwisho...
Ronaldo asepa Saudia, aenda Hispania akikwepa mabomu ya Iran Ndege binafsi inayomilikiwa na nyota wa soka wa Ureno, Cristiano Ronaldo, imeruka kutoka Saudi Arabia usiku wa manane kuelekea Madrid, Hispania, hatua inayozua maswali iwapo mshambuliaji huyo...
Ujio mpya wa Mr Money ngumi za kulipwa duniani FLOYD Mayweather Jr maarufu kama Mr Money, ameamua sasa kufanya kweli katika ulingo wa ngumi za kulipwa duniani, akifanya mazoezi ya ‘kufa mtu’ nyumbani kwake huko Las Vegas, Nevada, Marekani...
Kisa Palmer, Manchester United yatajiwa pesa ya kuweka mezani Manchester United imeonywa italazimika kuvunja rekodi ya uhamisho ya Uingereza kwa dau la zaidi ya Pauni 150 milioni ili kumng’oa Cole Palmer Chelsea.
Beki Arsenal adai kuna presha ya ubingwa BEKI wa boli, Jurrien Timber amekiri kuwa wachezaji wa Arsenal wanaweza kuhisi hali ya wasiwasi ndani ya Uwanja wa Emirates wakati mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England zikiingia kwenye hatua muhimu.