FERWAFA yasitisha mkataba wa Adel Amrouche Baada ya kuinoa timu ya taifa ya Rwanda 'Amavubi' kwa miezi 10, Kocha Adel Amrouche ameondolewa katika kibarua hicho na Shirikisho la Mpira wa Miguu Rwanda (FERWAFA) jana, Jumanne, Januari 13, 2025.
Jake anunua ranchi, mabilioni ya pambano la Tyson KAMA utani vile! Lakini, huo ndio ukweli. Bondia wa ngumi za maonyesho mitandaoni na mtengeneza maudhui mitandaoni, Jake Paul amenunua ranchi yenye thamani ya Dola 40 milioni (zaidi ya Sh90...
Como inamtaka Silva, Juve, Galatasaray bado zipo KIUNGO wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, 31, anadaiwa huenda akatimkia Italia kujiunga na Como katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu.
Yule aliyewaibua Saka, Nwaneri kusepa Arsenal MKUU wa akademi ya Arsenal, Per Mertesacker, ameripotiwa kuwa na mpango wa kuondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
Usichokijua kuhusu kocha mpya Real Madrid HAKUNA mtu aliyecheza mechi nyingi zaidi na kocha mpya wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa kuliko Xabi Alonso. klabu hiyo, lakini Mourinho aliweza kuwashusha kutoka kileleni. Anastahili sifa za...
Carrick apewa mikoba Manchester United MICHAEL Carrick amekubali kuwa kocha wa muda wa Manchester United hadi mwisho wa msimu.
Merino atuma ujumbe huko, asisitiza jambo KIUNGO mwenye uwezo mkubwa wa kufunga, Mikel Merino amesema kwa msisitizo Arsenal iko tayari kupambana na msongamano wa ratiba yao ya mechi kwa sababu wana ‘njaa’ ya kushinda mataji msimu huu.