Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8503 results for Mwandishi Wetu :

  1. Jurgen Klopp atamani kurudi mzigoni

    KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp anaweza kufanya uamuzi wa kushangaza na kurejea tena kufundisha soka baada ya kuanza kuhisi hamu ya kurudi kwenye benchi la ufundi.

    KLOPP Pict
  2. Robbie Keane kupewa kimeo Spurs

    TOTTENHAM Hotspur inaripotiwa kumfikiria Robbie Keane kama kocha mpya kwa ajili ya msimu ujao huku ikijaribu kukabiliana na kipindi kigumu zaidi katika historia ya hivi karibuni ya klabu hiyo.

    SPURS Pict
  3. Kocha mpya Morocco atuma salamu kwa wachezaji

    KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Morocco, Mohamed Ouahbi, ameahidi kuendeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana hivi karibuni huku akisisitiza kuwa uteuzi wa wachezaji utazingatia kiwango cha...

    KOCHA Pict
  4. FIFA yamfungia staa ES Tunis kwa utapeli wa Sh1 bilioni

    SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limemfungia mchezaji wa kimataifa wa Algeria, Youcef Belaïli, kutojihusisha na soka kwa muda wa mwaka mmoja kufuatia mgogoro wa kisheria na klabu yake ya...

    FIFA Pict
  5. Nahodha Super Falcons asikitishwa kuahirishwa kwa WAFCON 2026

    NAHODHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria maarufu Super Falcons, Rasheedat Ajibade, ameeleza kusikitishwa kwake na uamuzi wa ghafla wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kusogeza mbele...

    FALCON Pict
  6. Arsenal yanogewa na Piero Hincapié, kumsajili moja kwa moja

    KLABU ya Arsenal imeripotiwa kuridhishwa na kiwango cha beki wa kimataifa wa Ecuador, Piero Hincapié, tangu ajiunge na timu hiyo kwa mkopo akitokea Bayer Leverkusen, na sasa imepanga kumsajili...

    ARSENAL Pict
  7. Luis Figo aingilia mvutano wa Kylian Mbappé

    GWIJI wa soka wa klabu za Real Madrid na Barcelona, Luis Figo, ametoa maoni yake kuhusu mvutano unaoendelea juu ya jeraha la mshambuliaji wa Ufaransa, Kylian Mbappé, akisisitiza kuwa uamuzi wa...

    FIGO Pict
  8. FRMF yamrithisha Mohamed Ouahbi mikoba ya Walid Regragui

    SHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF), limemtangaza Mohamed Ouahbi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo, akichukua nafasi ya Walid Regragui.

    FMRF Pict
  9. Mashindano ya WAFCON 2026 yapelekwa mwezi Julai

    SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF), limetangaza kuahirishwa kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2026), uamuzi uliotolewa siku 12 zikisalia kabla ya kuanza kwa...

    WAFCON Pict
  10. Paul Scholes amkataa Michael Carrick Man United

    NYOTA wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amemrushia dongo Kocha wa Manchester United, Michael Carrick baada ya timu hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle United, licha ya...

    CARRICK Pict
Previous

Page 182 of 851

Next