Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8706 results for Mwandishi :

  1. Arteta asema bado anasajili

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kikosi chake bado finyu na hakina viwango vya kutosha hivyo ataendelea kufanya usajili mkubwa kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.

  2. Arsenal ni vyuma tu

    ARSENAL bado inapambana kuboresha fowadi yake, ambapo kinachoelezwa ni kwamba kuna wachezaji watatu inawafukuzia kunasa saini zao kabla ya dirisha kufungwa.

  3. Everton yapewa masharti magumu kusajili Grealish

    INAELEZWA Everton ipo tayari kumsajili mshambuliaji wa Manchester City, Jack Grealish lakini inakumbana na masharti magumu ambayo huenda yakasababisha iachane na mpango huo.

  4. Al-Hilal yafanya kufuru kwa Nunez

    STAA wa Liverpool, Darwin Nunez imeripotiwa atapata mshahara marafudu iwapo atakamilisha uhamisho wake kwenda kwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia, Al-Hilal.

  5. Straika Algeria auota ubingwa CHAN 2024

    MSHAMBULIAJI nyota wa Algeria, Aimen Mahious, ameweka wazi dhamira yake ya kuiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa CHAN 2024, akisisitiza kuwa huu ndio wakati wao wa kutimiza ndoto hiyo.

    ALGERIA Pict
  6. Ibenge aanza kuona mwanga Azam FC

    KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, ameonyesha imani na kuvutiwa na kiwango cha nyota wa timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

    IBENGE Pict
  7. Harry Kane ashajua siku ya kubeba kombe

    Kane alianzishwa kwenye fowadi ya Bayern Munich wakati ilipotokea nyuma kushinda 3-1 dhidi ya VfB Stuttgart kwenye mikikimikiki ya Bundesliga, Ijumaa iliyopita.

  8. Kisa Isak, mastraika kibao wawindwa

    NEWCASTLE United imeweka ubaoni orodha ya mastraika matata ili kujiandaa endapo kama Alexander Isak ataamua kuondoka, licha ya kwamba hawana mpango wa kumuuza fowadi huyo wa kimataifa wa Sweden.

    Isak Pict
  9. Amorim amvulia kofia Fernandes

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemsifu Bruno Fernandes na kusema ni mtu spesho kabisa baada ya nahodha huyo wa Mashetani Wekundu kuiongoza miamba hiyo kupata ushindi mnono wa wa 3-0...

  10. Tumbishie? James anasema yeye ni bora kuliko Zidane, Modric

    WANASEMA hivi, kama husifiwi, jisifu mwenyewe. Ndicho unachoweza kusema baada ya James Rodriguez kudai kwamba yeye ni mchezaji bora kuzidi Zinedine Zidane.

Previous

Page 181 of 871

Next