Pamba yafunga hesabu Nyamagana, yamwagiwa Sh10.5 milioni Pamba imecheza mechi 14 kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza bila kupoteza, ikishinda 11 na sare tatu.
Kyombo haoni ugumu kwa Bacca, Mwamnyeto Mshambuliaji wa Singida Fountain Gate, Habib Kyombo amesema licha ya safu ya ulinzi ya Yanga ikiongozwa na mabeki, Ibrahim Bacca na Bakari Mwamnyeto kuwa na ukuta mgumu, lakini wamepata mbinu za...
Gamondi: Aucho bado, atamba kubeba makombe Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema mazoezi ya mwisho leo jijini Mwanza yataamua hatma ya kiungo, Khalid Aucho kama atatumika katika mchezo wa kesho ama la licha ya kucheza kwa dakika chache m...
RC Mwanza akoleza mzuka Pamba WAKATI Pamba Jiji ikitarajiwa kushuka uwanjani kesho kucheza mechi ya mwisho ya Championship ikiwa nyumbani dhidi ya FGA Talents, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewaongezea mzuka mastaa wa...
Chanongo ana ramani ya Pamba Ligi Kuu PAMBA Jiji ina mechi tatu za kuvunja mwiko wa kutopanda Ligi Kuu kwa zaidi ya miaka 20 sasa, huku staa wake, Haruna Chanongo akifichua kitakachowabeba na kutimiza ndoto iliyosubiriwa muda mrefu...
Maguli aibeba Geita Gold Kombe la Shirikisho Mwanza. GEITA Gold imefuzu Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho baada ya kuichapa Rhino Rangers mabao 2-1 katika mchezo wa raundi ya 16 bora uliofanyika Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita, jioni ya...
Mfaransa Tabora aanza mikwara WAKATI Singida Fountain Gate iliyo chini ya Jamhuri Kihwelo 'Julio' ikiendelea kujifua ufukweni jijini Dar es Salaam, Kocha Mkuu wa Tabora United, Denis Goavec amewatumia salamu akiwatisha...
Kagera hesabu zipo robo ASFC LICHA ya kukabiliwa na kibarua kigumu Ligi Kuu, benchi la ufundi la Kagera Sugar limesema hesabu zao kwa sasa ni kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Kagera inatarajiwa...
Pamba yatoa dozi ya 5G Championship MATUMAINI ya Pamba Jiji kucheza Ligi Kuu msimu ujao yanazidi kuwa makubwa baada ya kutakata leo ikiibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Polisi Tanzania. Pamba imepata ushindi huo mkubwa...
Mhilu ajishtukia, aingia chimbo Staa huyo wa zamani wa Simba, Yanga na Kagera Sugar amekuwa na uhakika wa namba chini ya kocha mkuu, Denis Kitambi akicheza mechi 10 na kufunga mabao mawili.