Kocha Spurs lolote linaweza kutokea TOTTENHAM inaangalia kocha mbadala atakayekuja kurithi mikoba ya Thomas Frank ambaye yupo kwenye hatari kubwa ya kufutwa kazi.
Gemu ya Senegal, Morocco ilivyobamba kwa dakika 120 SENEGAL na Morocco ziliwakilisha Bara la Afrika na dunia nzima kushuhudia drama halisi ya soka katika fainali ya AFCON 2025, kuanzia penalti yenye utata, maandamano hadi bao la Pape Gueye...
Kuna timu Ujerumani inamtaka Xabi Alonso XABI Alonso inaripotiwa kufikiwa kwa ajili ya kurejea kwenye kazi ya ukocha, ikiwa ni wiki moja baada ya kufukuzwa na Real Madrid.
Unai Emery afunguka kitu Aston Villa KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery kwa hasira amesema timu yake haina nafasi ya kumaliza ndani ya tano bora baada ya Thierno Barry kuisababishia kipigo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.
Mane ataja chanzo cha kugoma kutoka uwanjani fainalin AFCON Nyota wa Senegal, Sadio Mane amesema kuwa aliamua kuwakataza wenzake kugomea mechi ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco jana kwa vile tukio hilo linaharibu taswira ya soka.
Bifu la Scholes, Martinez limefikia patamu balaa KUMEKUCHA. Mvutano kati ya Paul Scholes na beki wa Manchester United, Lisandro Martinez hauonekani kumalizika hivi karibuni baada ya gwiji huyo wa Old Trafford kujibu kwa mzaha kupitia mitandao...
Senegal yabeba ubingwa Afcon 2025 Senegal imeichapa Morocco na kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya pili, lakini baada ya fainali hiyo kuchafuliwa na tukio la kuondoka kwa wachezaji wa Simba wa Teranga uwanjani wakati...
Fei Toto amebakiza mawili tu Bara BAO la pili lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika dakika ya 35 wakati timu hiyo ikiizamisha Coastal Union kwa mabao 3-0 juzi usiku kwenye Uwanja wa Azam...
Hussein Masalanga atua Yanga KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu.