Huko Ulaya ni weka niweke kwenye ligi MAMBO ni moto leo huko kwenye Ligi Kuu za Ulaya na mchakamchaka ni kila kona, ikianzia kwenye La Liga ambako Real Madrid ya Kylian Mbappe itakuwa nyumbani Jumamosi kukipiga na Valencia, kabla ya...
De Bruyne aaga zake Man City KIUNGO mshambuliaji Kevin De Bruyne amethibitisha kwamba ataachana na Manchester City mwishoni mwa msimu huu baada ya kuwapo kwenye klabu hiyo kwa muongo mmoja.
Arteta ataja sababu kuukosa ubingwa EPL KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amedokeza kuwa majeraha na kadi walizokutana nazo msimu huu ni sababu ya timu hiyo kuukosa ubingwa wa Ligi Kuu England.
Lewandowsk kuikosa El Classico STRAIKA wa Barcelona, Robert Lewandowski anatarajiwa kuukosa mchezo wa El Classico dhidi ya Real Madrid baada ya kupata majeraha ambayo yatamweka nje kwa Zaidi ya wiki tatu.
Cunha, Man United kuna kitu kinakuja BABA mzazi wa Matheus Cunha amezidisha uvumi wa kuhusu mwanaye kwenda kujiunga na Manchester United dirisha lijalo la majira kiangazi kutokana na kile alichokiposti kwenye mitandao ya kijamii.
Slot anahitaji mshambuliaji Liverpool LIVERPOOL wamepanga kusajili mshambuliaji katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ndio kipaumbele cha kwanza cha kocha wa timu hiyo Arne Slot.
Kisa kipigo, Ronaldo aongea peke yake STAA wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo alionekana akijizuia kulia huku akiongea mwenyewe na kuonyesha ishara ya mikono baada ya Al-Nassr kuondolewa katika michuano ya Klabu Bingwa barani Asia juzi.
De Bruyne aandaliwa mechi yake Etihad MANCHESTER City imefichua mechi yao dhidi ya Bournemouth itakayopigwa baadaye mwezi huu itakuwa maalumu kwa ajili ya kumuaga kiungo wao, Kevin De Bruyne.
Guardiola awapa msala mabosi EPL PEP Guardiola amepeleka lawama zake kwenye Ligi Kuu England akilalamika wanaiweka Manchester City kwenye hali ngumu ya kufikia ndoto za kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Amorim adai Man United ni bora isifuzu Uefa KOCHA, Ruben Amorim anafahamu wazi presha atakayokabiliana nayo endapo kama Manchester United haitanyakua taji la Europa League, Jumatano ijayo.