Arsenal wasiwasi wakiogopa historia MASHABIKI wa Arsenal waliondoka Emirates, Jumapili jioni wakiwa na hisia mbaya kwamba tayari wameshawahi kuona filamu hii.
Mziki wa Palmer hapo Manchester United MANCHESTER United kwenye kikosi chao tayari ina mmoja wa viungo bora kabisa wa kushambulia duniani, lakini bado inataka kuongeza mwingine.
Carragher: Slot akikwama hapa hana kazi tena JAMIE Carragher anatabiri Liverpool itamfuta kazi Arne Slot endapo atashindwa kuipeleka klabu hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Bruno aisubirisha Man United KIUNGO na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, 31, amepanga kusubiri hadi mwisho wa msimu huu kabla ya kufanya uamuzi juu ya mustakabali wake ikiwa ataendelea kuwepo katika kikosi hicho...
Dondoo za ubashiri wa Dabi ya Simba na Yanga Ligi Kuu kutoka BetZillion Mchezo mkubwa wa soka nchini unatarajiwa kupigwa tarehe 8 Februari 2026, ambapo vigogo wa soka Simba na Yanga watakutana uso kwa uso katika Uwanja wa Taifa, Benjamin Mkapa. Tayari hali ya mvutano...
Miloud Hamdi ajiuzulu Ismaily Aliyekuwa Kocha wa Yanga msimu uliopita, Miloud Hamdi jana, Jumatatu, Januari 26, 2026 ametangza kujiuzulu kibarua chake katika klabu ya Ismaily ya Misri.
Peter Manyika kuagwa Mbezi, kuzikwa kesho Kinondoni Kipa na Kocha wa zamani wa makipa wa Yanga na timu ya taifa 'Taifa Stars', Peter Manyika anatarajiwa kuzikwa kesho, Jumatano, Januari 28, 2026 katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.
WE ACHA TU! Penalti 10 zinazouma zaidi kwenye mchezo wa soka MIKWAJU ya penalti hutengeneza nyakati zisizo na huruma kabisa katika mchezo wa soka.ngekuwa na bunduki, ningejipiga risasi. Wakati huo nilitaka kufa. Ndivyo ilivyokuwa.”
Shiza Kichuya aibukia Coastal Union WINGA wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Shiza Kichuya amejiunga na Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba JKT Tanzania.
Umesikia hii ya Vinicius Jr, mashabiki Real Madrid wahusishwa NDO hivyo. Liverpool imepata msukumo mkubwa katika juhudi zao za kumleta nyota wa Real Madrid, Vinicius Junior kwenda Anfield mwaka huu, baada ya ripoti kadhaa kutoka vyombo vya habari vya...