Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7940 results for Mwandishi Wetu :

  1. Arsenal wasiwasi wakiogopa historia

    MASHABIKI wa Arsenal waliondoka Emirates, Jumapili jioni wakiwa na hisia mbaya kwamba tayari wameshawahi kuona filamu hii.

    ARSENAL Pict
  2. Mziki wa Palmer hapo Manchester United

    MANCHESTER United kwenye kikosi chao tayari ina mmoja wa viungo bora kabisa wa kushambulia duniani, lakini bado inataka kuongeza mwingine.

    PALMER Pict
  3. Carragher: Slot akikwama hapa hana kazi tena

    JAMIE Carragher anatabiri Liverpool itamfuta kazi Arne Slot endapo atashindwa kuipeleka klabu hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.

    CARRA Pict
  4. Bruno aisubirisha Man United

    KIUNGO na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, 31, amepanga kusubiri hadi mwisho wa msimu huu kabla ya kufanya uamuzi juu ya mustakabali wake ikiwa ataendelea kuwepo katika kikosi hicho...

  5. Dondoo za ubashiri wa Dabi ya Simba na Yanga Ligi Kuu kutoka BetZillion

    Mchezo mkubwa wa soka nchini unatarajiwa kupigwa tarehe 8 Februari 2026, ambapo vigogo wa soka Simba na Yanga watakutana uso kwa uso katika Uwanja wa Taifa, Benjamin Mkapa. Tayari hali ya mvutano...

    BETZILLION Pict
  6. Miloud Hamdi ajiuzulu Ismaily

    Aliyekuwa Kocha wa Yanga msimu uliopita, Miloud Hamdi jana, Jumatatu, Januari 26, 2026 ametangza kujiuzulu kibarua chake katika klabu ya Ismaily ya Misri.

  7. Peter Manyika kuagwa Mbezi, kuzikwa kesho Kinondoni

    Kipa na Kocha wa zamani wa makipa wa Yanga na timu ya taifa 'Taifa Stars', Peter Manyika anatarajiwa kuzikwa kesho, Jumatano, Januari 28, 2026 katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.

  8. WE ACHA TU! Penalti 10 zinazouma zaidi kwenye mchezo wa soka

    MIKWAJU ya penalti hutengeneza nyakati zisizo na huruma kabisa katika mchezo wa soka.ngekuwa na bunduki, ningejipiga risasi. Wakati huo nilitaka kufa. Ndivyo ilivyokuwa.”

    PENALTI Pict
  9. Shiza Kichuya aibukia Coastal Union

    WINGA wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Shiza Kichuya amejiunga na Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba JKT Tanzania.

    KICHUYA Pict
  10. Umesikia hii ya Vinicius Jr, mashabiki Real Madrid wahusishwa

    NDO hivyo. Liverpool imepata msukumo mkubwa katika juhudi zao za kumleta nyota wa Real Madrid, Vinicius Junior kwenda Anfield mwaka huu, baada ya ripoti kadhaa kutoka vyombo vya habari vya...

    VINI Pict
Previous

Page 168 of 794

Next