Ndayiragije akuna mabosi, kulamba dili jipya MABOSI wa Police FC ya Kenya wanatarajiwa kumsainisha mkataba mpya wa mwaka mmoja kocha mkuu Etienne Ndayiragije baada ya kuridhishwa na utendaji wake wa kazi tangu alipotua katika kikosi hicho...
Winga Antony kawa mtamu balaa huko WINGA, Antony amewasha moto huko Real Betis akifunga bao kwenye mechi ya pili mfululizo wakati miamba hiyo ilipokipiga na Gent kwenye mchakamchaka wa Europa Conference League.
PRIME Cristiano Ronaldo bado tishio kwa utajiri Mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameendela kuwaburuza wanamichezo akiongoza katika orodha ya wanamichezo 100 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mwaka 2024, baada...
Carragher amshangaa Sancho anavyokaba JAMIE Carragher amemchana Jadon Sancho kwa kushindwa kuonyesha jitihada kuinusuru Chelsea isikumbane na udhalilishaji kutoka kwa Brighton.
Wasaudia wamkomalia Vinicius Jr REAL Madrid inakabiliwa na kazi ngumu ya kuwadhibiti mabosi wa Saudi Arabia kwenye mpango wa kuvamia Bernabeu kwenda kung’oa huduma ya winga wa Kibrazili Vinicius Jr.
Gabriel majanga Arsenal VICHWA vinawauma Arsenal wakijiuliza itakuwaje baada ya beki lao la kazi Gabriel kuumia huku mbele yao wakikabiliwa na mechi kubwa dhidi ya Manchester United keshokutwa Jumatano.
Tabora, JKT zatakata, Yacouba wamotoo Tabora United ikiwa kwenye Uwanja wa KMC Complex imeendeleza moto wake wa ushindi baada ya kuichapa KMC mabao 2-0. Mbali na ushindi wa KMC, JKT Tanzania imefanikiwa kujiweka kwenye nafasi nzuri...
Kumbe Mane kawapa Liverpool kiungo mkali KIUNGO, Ryan Gravenberch amekiri kwamba staa wa zamani wa Liverpool, Sadio Mane ndiye aliyemshawishi kuhama kutoka Bayern Munich kwenda kukipiga Anfield mwaka 2023.
Miaka 130 ya Olimpiki Morogoro Wanamichezo mbalimbali nchini watashiriki mbio za kilomita 2.5 na kilomita 5 zitakazoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kuadhimisha miaka 130 ya Olimpiki.
Serbia yatishia kujitoa Euro 2024 SERBIA imetishia kujiondoa katika michuano ya Euro 2024, ikizishutumu Croatia na Albania kuwa na kampeni za kutaka kuwafanyia mambo mabaya.