Tajiri Brooklyn Earick akataa kuiuza Tottenham TAJIRI Brooklyn Earick ameamua kuondoa rasmi ofa yake ya Pauni 4.5 bilioni ya kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur, baada ya familia ya Lewis kusisitiza hawatoiuza kwa pesa yoyote ile.
Harry Kane afunguka kurudi England KAPTENI wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, 32, amefuta tetesi za kutaka kurejea tena England na kusisitiza yupo tayari kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia.
Mashabiki, wachezaji wazichapa baada ya timu kupigwa 6-0 Mechi ya soka ya Northern Premier League Division One West nchini England, imesitishwa baada ya kutokea ugomvi kati ya mashabiki na wachezaji dakika sita kabla ya kumalizika.
Nchi nne zaomba kuandaa Kombe la Dunia Wanawake 2031 Maafisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Marekani wamethibitisha kuwasilisha kwa pamoja zabuni ya kuandaa michuano ya Kombe la Dunia Wanawake 2031 na nchi za Mexico, Costa Rica na Jamaica.
Kocha Liverpool bado anamtetea Wirtz KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amemtetea kiungo wake ghali Florian Wirtz baada ya kushambuliwa sana kutokana na kuanza maisha yake Anfield kwa kasi hafifu.
Barnes, Gordon waiongoza Newcastle kuichapa Benfica ya Mourinho Harvey Barnes na Anthony Gordon wameipa Newcastle United ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Benfica inayoongozwa na Jose Mourinho katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa St James' Park, usiku...
Simba, Mtibwa, TFF zamlilia Alphonce Modest Kufuatia kifo cha staa wa zamani wa Simba na Yanga, Alphonce Modest kilichotokea jana Jumanne Oktoba 21, 2025 akiwa nyumbani kwao Kigoma, wadau mbalimbali wa soka wamemlilia zikiwemo klabu...
Simba yaingia 10 bora tuzo za CAF 2025, Pyramids, Berkane ndani Simba katika msimu wa 2024/2025 ilifika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Arsene Wenger aitabiria ubingwa Arsenal Aliyekuwa Kocha wa Arsenal, Arsène Wenger, amesema msimu huu 2025-2026 anaona tofauti kubwa kwenye kikosi cha klabu hiyo kinachoongozwa na kocha Mikel Arteta, na huenda mambo yakawanyookea kwa...