Azam yamsaka kiungo wa Power Dynamos MATAJIRI wa Ligi Kuu Bara, Azam FC wanaendeleza kuimarisha kikosi chao kwa kuwaongezea mikataba baadhi ya wachezaji muhimu ambao inamalizika pamoja na kuingia sokoni kuangalia wale wapya ambao...
PRIME Robertinho ataka wiki tano Simba Kama kuna kitu mashabiki wa Simba wanasubiri basi ni kujua nyota wao wapya wa msimu ujao, lakini kocha Robert Oliveira 'Robertinho amebainisha kuwa watu washasajiliwa na wiki tano zinatosha kwake.
Simba yaandika rekodi Al Ahly ACHANA na rekodi za kuwafunga kila mara wanapokanyaga kwenye Uwanja wa Mkapa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba imeandika rekodi nyingine dhidi ya Al Ahly ya Misri. Luis Jose waliyemuuza kwa...
Manara aibua jambo dhidi ya Senzo HAJI Manara, aliyekuwa ofisa habari wa Simba amedai kuwa mtendaji mkuu wa zamani wa Simba, Senzo Mbatha aliajiriwa ili amfukuze kazi. Haji alibwaga manyanga ndani ya Simba baada ya kutokuwa na...
PRIME Malone aingia anga za Simba KLABU ya Simba iko kwenye mazungumzo na CotonSport ya Cameroon ili kupata saini ya beki wa kati, Che Fondoh Malone. Beki huyo anatajwa kuhitajika na miamba hiyo hapa nchini kwa ajili ya kuongeza...
TFF yamjibu Manara KAIMU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amesikitishwa na madai ya aliyekuwa mhamasishaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara kuwa alimuomba msamaha kwa maelezo kuwa Rais...
Ishu ya Chama kwenda Yanga iko hivi Kiungo wa Simba Clatous Chama anayemaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu ametajwa kuhusisha na Yanga, zikiwa zimebaki wiki chache kabla msimu haujamalizika.
Waarabu wamganda Mourinho Kwa mujibu wa ripoti kutoka The Sun, kocha wa zamani wa AS Roma na Manchester United, Jose Mourinho yupo katika mazungumzo na baadhi ya timu za Saudi Arabia kwa ajili ya kurudi kazini baada ya...
Dani Carvajal kukaa nje mwezi mzima REAL Madrid imejikuta katika mgogoro mkubwa wa safu ya ulinzi baada ya beki wao Dani Carvajal kupata jeraha la mguu katika mechi ya dabi dhidi ya Atletico Madrid. kwa wakati huo. Hali kama hii...
Xavi awekewa dau nono Saudi Arabia KOCHA wa zamani wa Barcelona, Xavi Hernandez ameripotiwa kupewa ofa nono na Al-ittihad ya Saudi Arabia jambo linaloweza kumshawishi kurejea tena kazini hivi karibuni.