Mjadala gari la Diamond na ukweli kuhusu magari ya bei mbaya Achana na ule mjadala ulioshika kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu gari aina ya Cadillac Escalade Sky Captain alilonunua msanii wa Tanzania, Nassib Abdul maarufu Diamond Platnumz.
Simba ni dhahama Mchezo wa kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Kaizer Chiefs umemalizika usiku huu Mei 15, 2021 kwa Simba kupoteza kwa mabao 4-0.
Mechi Simba, Mbeya Kwanza haieleweki LEO jioni katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kulikuwa na mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya Mbeya Kwanza kutokea Ligi Daraja La Kwanza.
Lwanga: Hawatuwezi! Kiungo mkata umeme wa Simba, Thadeo Lwanga amesema mchezo wa leo walikuwa wanahitaji alama tatu na wamezipata mbele ya mabingwa mara 9 wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri. Simba...
Mkude: Simba naombeni msamaha Siku 24 baada ya kutoka taarifa ya Uongozi wa klabu ya Simba kumsimamisha mchezaji wao nyota, Jonas Mkude hatimaye amejitokeza hadharani na kuomba radhi. Taarifa ya kusimamishwa Mkude ilitoka...
Mrisho Ngassa atoa angalizo Simba LEO Ijumaa kuanza saa 3:00 usiku,Simba itakuwa uwanjani kucheza mechi ya marudiano ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca kwenye Uwanja wa
Platinum hofu tupu Simba inaihitaji ushindi wa tofauti ya zaidi ya bao moja dhidi ya Platnum, kesho, ili kutinga hatua ya makundi.
Simba, Namungo washikilia ratiba ya Mapinduzi Cup WAWAKILISHI wa michuano ya kimataifa nchini, Simba na Namungo FC ndiyo wameshikilia upangaji wa ratiba ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi, ingawa tayari zimethibitisha ushiriki wao.
FCC yaanza uchunguzi mabadiliko Simba Tume ya Ushindani (FCC) imeanza uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba ambao inawahusu wadaawa watano.
Ibenge atajwa Azam WAKATI Azam FC ikibakiza mechi tano kumaliza msimu wa Ligi Kuu Bara, tayari imeanza kimyakimya kutafuta kocha mpya atakayeiongoza msimu ujao ambao imepania kutwaa ubingwa huku kocha wa Al Hilal...