Arsenal kuna kitu! Havertz kukosa mechi muhimu ARSENAL imepata pigo jingine katika harakati zakeza kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England na michuano mbalimbali baada ya mshambuliaji wake Kai Havertz kukabiliwa na tatizo la misuli...
Vita ya ubingwa EPL bado mbichi VITA ni kali England. Ndio, Arsenal na Manchester City zipo ktika vita kali ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) zina uwezekano wa kukutana mara tano kuanzia mwezi ujao hadi mwisho wa...
Man United yamtibulia shabiki kunyoa nywele HABIKI mwenye nywele nyingi wa Manchester United, Frank Illett amebaki hana la kusema huku akisubiri karibu siku 500 kukata nywele zake baada ya mkeka alioweka kushindwa kutiki.
Eze adai kazi ya mkewe inamtuliza STAA wa Arsenal, Eberechi Eze, amesema kazi ya mkewe kama muuguzi wa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) imempa “ukumbusho wa uhalisia” kuhusu presha ya kufuatilia na kushinda mataji.
Mastaa Madrid wakutana kupata mlo pamoja MASTAA wa Real Madrid walikutana kwa ajili ya kupata chakula cha jioni kuweka makubaliano kitu gani cha kufanya kipindi kilichosalia cha msimu huu wa 2025/26.
Spurs yamfuta kazi kocha wake Frank KOCHA, Thomas Frank amefutwa kazi ya kuinoa Tottenham Hotpur kutokana na kikosi hicho kupata matokeo ya hovyo.
Wagosi wamaliza gundu la siku 76 USHINDI wa mabao 4-1 ilioupata Coastal Union mbele ya Tanzania Prisons umeiwezesha kuondoa jinamizi la siku 76 bila ushindi Ligi Kuu Bara, huku kocha Mohammed Muya akisema haikuwa rahisi kwani...
Orodha ya kampuni bora za kubeti mtandaoni Tasnia ya michezo ya kubeti imekuwa ikukua kwa siku hadi siku ikiwavutia watu wengi hasa vijana. Kwa Tanzania serikali imekuwa ikiingiza mapato kupitia kodi mbali mbali .
Mgunda alia na Yona Amos KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kipigo cha bao 1-0 ilichopewa timu hiyo ugenini na Pamba Jiji kimewashtua, kwani hawakutarajia huku akimtaja kipa Yona Amos aliyechangia kuziacha pointi...