Febregas aitega Chelsea akiitaka EPL KOCHA wa Como, Cesc Fabregas ameweka wazi kuwa anatamani siku moja kufundisha katika Ligi Kuu ya England lakini ameonya kuwa hatakubali kazi ambayo hatakuwa na sauti kwenye maamuzi kitu ambacho...
Messi ampa mzuka dereva Formula 1 Nyota wa Inter Miami CF, Lionel Messi ametimiza ndoto ya dereva chipukizi wa Formula 1, Franco Colapinto kukutana naye kabla ya mashindano ya Miami Grand Prix nchini Marekani.
Mo Salah apata jeraha, hofu yatanda Liverpool RIPOTI zinaeleza mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah huenda asionekane tena uwanjani Anfield baada ya kupata majeraha.
Bruno Fernandes apigiwa debe mchezaji bora EPL MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Benjamin Sesko amempigia debe nahodha wake, Bruno Fernandes kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi Kuu England 2025/26 huku akisifu mchango wake.
Carrick alalamikia waamuzi kipigo dhidi ya Leeds Kaimu Meneja wa Manchester United, Michael Carrick ameshambulia uamuzi wa marefa kuwa ndio chanzo cha kupoteza kwa mabao 2-1 mchezo wa jana Jumatatu, Aprili 15, 2025 nyumbani dhidi ya Leeds United.
Abdul Kakwaya atamba kufanya makubwa BDL NYOTA wa kikapu, Abdul Kakwaya amesema kwa sasa anasikilizia timu itakayohitaji huduma yake huku akiendelea kujifua kwa ajili ya ligi ya DBL.
Hakuna namna! Mastaa kibao kuuzwa Liverpool LIVERPOOL inajiandaa kuuza baadhi ya wachezaji wao tegemeo dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kufidia kiasi kikubwa ilichotumia katika usajili wa mastaa kwa miaka miwili iliyopita.
Pigo Arsenal, Madueke aondoka kwa kuchechemea! ARSENAL imezidi kupata pigo kubwa la majeraha baada ya Noni Madueke kulazimika kutoka uwanjani katika mechi yao dhidi ya Sporting Lisbon.
Guardiola: Hata tukishinda Arsenal, ubingwa bado mbali KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, ameeleza kuwa hata kama timu yake itashinda mechi muhimu dhidi ya Arsenal leo haitakuwa timu inayopaswa kupigiwa hesabu zaidi kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...
Varane awindwa Singida BS MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza mchakato wa kumfuatilia beki wa kati wa Police FC ya Rwanda, Mghana Issah Yakubu ‘Varane’, ili kuipata saini yake mapema, baada ya menejimenti ya nyota...