Man United imempa presha Carlos Baleba KIUNGO wa Brighton, Carlos Baleba amekiri kwamba tetesi za kutakiwa na Manchester United zilimfanya kuwa na presha kubwa na kumfanya aanze msimu kwa kiwango chenye wasiwasi.
Newcastle yapewa Man City Carabao, Chelsea ikizisubiri Arsenal, Crystal Palace NEWCASTLE United itakabiliana na mabingwa mara nane wa Kombe la Carabao, Manchester City, katika hatua ya nusu fainali ya mashindano hayo.
Victor Mwandike afariki dunia akiacha historia Kariakoo Derby Refa mstaafu wa kimataifa wa Tanzania, Victor Mwandike, amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam.
Maurizio Sarri apasuliwa moyo ALIYEKUWA kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri amefanyiwa upasuaji wa moyo huko Rome, Italia baada ya kupimwa na kuonekana upumuaji wake hauko kawaida.
Unai Emery akimbia kipigo kizito Arsenal UNAI Emery ametoweka kwenye benchi lake baada ya filimbi ya mwisho ya mchezo ambao kikosi chake cha Aston Villa kilikumbana na kipigo kizito kutoka kwa Arsenal.
Rani Khedira kuitumikia Tunisia Kombe la Dunia 2026 KIUNGO wa Union Berlin ya Ujerumani, Rani Khedira, amethibitishwa rasmi kuitumikia timu ya taifa ya Tunisia, baada ya kupewa kibali cha mwisho na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) sambamba...
Bernardo Silva, Man City ndo basi tena KIUNGO na nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva anatarajiwa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu kwa uhamisho wa bure, baada ya kudumu kwa miaka tisa katika kikosi hicho.
Simba Vs Dodoma Jiji kupigwa Sheikh Amri Abeid Kabla ya mchezo huo, itacheza na TRA United uwanjani hapo Aprili 9, 2026 na Aprili 15, 2026 itakuwa na mechi nyingine hapo dhidi ya Fointain Gate.
TPLB: TRA United v Simba mtatumia tiketi za awali Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi kuwa mchezo namba saba (7) wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026 kati ya TRA United FC na Simba SC utafanyika Aprili 9, 2026 katika Sheikh Amri...
FIFA yamtega Cristiano Ronaldo akikwepa kifungo Cristiano Ronaldo ataruhusiwa kuichezea Ureno katika mechi yao ya kwanza kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 licha ya kuonyeshwa kadi nyekundu dhidi ya Jamhuri ya Ireland, lakini amewekewa mtego.