Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

166 results for Aisha Mbuma :

  1. Nabi, Kaizer sharti ni moja

    Nabi amewaambia anataka kwenda na Kocha Msaidizi, Kocha wa Makipa pamoja na mtu wa video na inaripotiwa siku yoyote wiki hii atatua Sauzi kumaliza dili.

  2. PRIME Simba yalamba dili la Sh4 bilioni

    KLABU ya Simba imelamba dili nono ya Sh 4 Bilioni baada ya kuingia mkataba mpya wa miaka miwili wa makubaliano ya kutengeneza na kusambaza jezi na Kampuni ya Sandaland Fashion Wear Limited.

  3. Kaizer Chiefs yamtaka Nabi

    TIMU ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inadaiwa kufanya uchunguzi kuhusu uwezekano wa kufanya mazungumzo na kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi ili akaifundishe.

  4. Mayele alikacha safari DR Congo kupambania kiatu Mbeya

    Mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele amesema kiungo wa Simba, Saido Ntibazonkiza alimpa changamoto baada ya kufunga mabao 5 katika mechi dhidi ya Polisi Tanzania na kumsongelea yeye akiwa na 16...

  5. Banda aumia akipasha, Kyombo achukua nafasi yake

    Kiungo Peter Banda ameumia wakati kikosi cha Simba wakifanya mazoezi mepesi muda mchache kabla ya mechi ya kuanza mwisho msimu huu dhidi ya Coastal Union na nafasi yake kuchukuliwa na Habibu...

  6. Mashabiki USM Alger wajaza uwanja saa tatu kabla ya fainali CAFCC

    Mashabiki wa USM Alger wajaza uwanja wa Stude du 5 Juillet wenye uwezo wa kubeba mashabiki 62,000, uwanja umeja saa tatu kablya ya fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga...

  7. Hii Young Famous msimu huu inaupiga mwingi sana

    Nyie nyie mjini kumechangamka haswa baada ya lile jambo ambalo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu Realiy Show ya ‘Young, Famous, and African’ ambayo imewashirikisha matajiri na mastaa, barani Afrika...

  8. Mmoja afariki Dunia kwa Mkapa

    Leo katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Yanga ikicheza fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger, wakati msongamano wa mashabiki wakiingia uwanjanni muda mchache kabla ya mechi...

  9. Straika anayetakiwa Yanga awakataa Al Akhdar

    STRAIKA wa Marumo Gallants, Ranga Chivaviro amekataa ofa ya kutoka klabu ya Libya, Al Akhdar akiendelea kuvuta muda kabla ya kuamua wapi pa kwenda.

  10. Haya hapa mashtaka sita yanayomkabili staa wa Yanga Feisal

    Katika barua ambazo zimevuja iliyoelekezwa kwa Feisal, Mei 16 alipokea barua ya malalamiko kutoka kwa uongozi wa klabu hiyo ikimtuhumu kwa makosa mbalimbali ya kinidhamu. Barua hiyo pia...

Previous

Page 14 of 17

Next