Lampard apata ajira baada ya miezi 18 BAADA ya miezi 18 bila ya ajira hatimaye kocha wa zamani wa Chelsea, Everton na Derby County, Frank Lampard ametua baada ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa Coventry City ya Championship.
Pep alia ugumu wa ratiba Man City PEP Guardiola amedai hana sababu ya kulalamikia ratiba ngumu inayoikabili Manchester City kwa mwezi huu wa Februari kwa sababu siku zote England imekuwa na tatizo hilo miaka yote.
Lewandowski anunua mjengo kisiwa cha raha huko Hispania STRAIKA wa Barcelona, Robert Lewandowski ametumia Pauni 9.2 milioni kununua jumba la kifahari huko Mallorca.
Kilimanjaro Heroes ni ubingwa tu Mapinduzi Cup Benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Heroes' limesema kuwa lengo kuu la kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2024 yatakayofanyika Pemba, Zanzibar ni kutwaa ubingwa.
TBF yalamba Sh194 milioni BetPawa KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya BetPawa imetangaza udhamini wa Sh194.8 milioni kwa ajili ya Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendeshwa na Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF)...
Dani Olmo kubebwa bure kabisa KIUNGO mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo yupo kwenye hatari ya kuzuiwa kuitumikia timu hiyo jambo litakalomfanya aondoke bure kabisa.
Guardiola aachana na mke wake Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30.
Mo Salah mambo safi huko Liverpool SUPASTAA, Mohamed Salah ameweka rekodi tamu Ligi Kuu England na Liverpool baada ya kucheza kwa kiwango cha kibabe sana dhidi ya Tottenham Hotspur juzi Jumapili.
Ronaldo hatoki Saudia STAA wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo inadaiwa ana mpango wa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia Ligi Kuu ya Saudi Arabia kwa muda mrefu zaidi.
Ronaldo akataa ukocha Nyota wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo amesema kinachomfanya aendelee kucheza kwa sasa ni motisha na pindi atakapostaafu hana mpango wa kugeukia ukocha.