Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8657 results for Mwandishi :

  1. Hatimaye Arteta asema kitu kuhusu Partey

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema tena kwa msisitizo kwa asilimia 100 anaamini klabu yake ilifuata utaratibu wote unaofaa wa kuhusu kesi inayomkabili kiungo wa Ghana, Thomas Partey.

    ARTETA Pict
  2. Saka afichua wasiwasi wake wakati akijiuguza

    STAA wa Arsenal, Bukayo Saka amefunguka athari alizokabiliana nazo kimwili na kiakili wakati alipokumbwa na majeraha makubwa yaliyoweka kwenye mashaka makubwa maisha yake ya soka.

    SAKA Pict
  3. Winga Cherki katua tunduni Man City

    MANCHESTER City imethibitisha kumsajili kiungo wa Olympique Lyon, Rayan Cherki kwa ada ya Pauni 31 milioni.

    CHEKRY Pict
  4. Chelsea yaacha vifaa Kombe la Dunia

    CHELSEA imepiga chini mastaa wenye thamani ya Pauni 150 milioni katika kikosi chake kitakachokwenda kuchuana kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu litakalofanyika Marekani mwezi huu.

    CHELSEA Pict
  5. Bayer Leverkusen yakubali kwa Alonso

    MKURUGENZI wa Bayer Leverkusen, Fernando Carro amethibitisha hatma ya kocha wao Xabi Alonso itaamuliwa katika wiki chache zijazo baada ya mazungumzo zaidi na wangependa kuendelea kuwa naye lakini...

    ALONSO Pict
  6. Rais Samia aibeba Simba Sauzi, agharamia malazi, usafiri

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipa Simba sapoti ya usafiri wa kwenda Afrika Kusini na kugharamia malazi kwa timu hiyo katika kipindi chote itakapokuwa huko kwa...

  7. Simba yasitisha mkataba wa CEO wao, yamtaja mrithi wake

    Uongozi wa Simba umetangaza kusitisha mkataba na Francois Regis raia wa Rwanda ambaye alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu hiyo.

  8. Haaland haogopi kesi ya Man City

    STRAIKA Erling Haaland amefichua mabosi wa Manchester City wamemhakikishia watashinda mashtaka yao 130 yanayowakabili dhidi ya Ligi Kuu England juu ya madai ya udanganyifu kwenye mapato na matumizi.

  9. Kevin De bruyne, Marekani ipo hivi

    KIUNGO wa Manchester City Kevin de Bruyne ameripotiwa kuzungumza na San Diego ya Marekani juu ya uwezekano wa kujiunga nayo katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi pale mkataba wake...

    KEVIN Pict
  10. Tuchel amwandalia dawa Jude Bellingham

    KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel amepanga kuja na njia mbadala ya kumfanya staa wa timu hiyo Jude Bellingham atunze nguvu zake kwa ajili ya muda muhimu na kudhibiti hisia zake.

    JUDE Pict
Previous

Page 110 of 866

Next