Mo Salah anavyoburuza namba akisugua benchi LIVERPOOL wanaonekana ‘kufika mwisho’ na Mohamed Salah msimu huu, lakini takwimu zake bado zinampita winga wa Arsenal, Bukayo Saka kuonyesha kwamba bado Mmisri huyo yupo vizuri zaidi.
Wanne washikwa mkono gofu kimataifa WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
Dar City yabeba matumaini BAL SERIKALI ya Tanzania imesema imejipanga kuendeleza sekta ya michezo nchini, hususan mpira wa kikapu, kufuatia hatua ya taifa kuandika historia kwa kushiriki mashindano ya Afrika (BAL) kwa mara ya...
Jumba bovu… Kisa Kepa, Arteta hakwepi lawama KITENDO cha kumwacha nje kipa David Raya na kumpanga Kepa Arrizabalaga katika fainali ya Kombe la Carabao kimechafua hali ya hewa kwa Kocha Mikel Arteta na kuonekana alifanya kosa kubwa sana.
Vigogo Ulaya macho yote kwa Andrey Santos MANCHESTER United inatarajiwa kukutana na upinzani mkali kutoka timu za Ligi Kuu England katika harakati zao za kumsajili kiungo wa Chelsea, Andrey Santos mwenye umri wa miaka 21.
Zidane kulamba dili jipya Ufaransa KOCHA na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa, Zinedine Zidane anatarajia kupata kazi mpya baada ya kufikia makubaliano ya mdomo ili kumaliza siku 1,727 za bila ajira.
Welbeck apita njia ya Ibrahimovic EPL MSHAMBULIAJI wa Brighton, Danny Welbeck amefanikiwa kufikia jambo ambalo ni wachezaji wawili tu wengine katika historia ya Ligi Kuu England wamewahi kulifanya, baada ya kufunga dhidi ya Liverpool.