Curry: Rekodi ya mipira 4,000 nyavuni WIKIENDI hii imekuwa ya kuvutia katika historia ya NBA. Mashabiki wa Golden State Warriors waliokuwa wamefurika kwenye Uwanja wa Chase Center walishuhudia tukio la kihistoria kwa Stephen Curry...
BONGO MUSIC FACTS: Ingekuwa vipi Danny Msimamo bila Motika Records? Danny Msimamo katika safari ya muziki alipita studio nyingi ila Motika Records na Aigies Records ndizo zimebeba historia kubwa kwake maana nyimbo zake nyingi maarufu zimetengenezwa hapo. Fahamu...
Pep: Tukifuzu UEFA tunashukuru PEP Guardiola amesisitiza kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu yatakuwa mafanikio makubwa sana Manchester City.
Arteta akubali yaishe, ataka nafasi ya pili KOCHA Mikel Arteta amewataka mastaa wake wa Arsenal kushinda vita ya kumaliza namba mbili Ligi Kuu England msimu huu baada ya kuwaambia: “Kama hamuwezi kuwa namba moja, basi walau muwe namba mbili.”
Tuchel amkumbusha Kane yeye ni straika KOCHA wa England, Thomas Tuchel amesema anatarajia kumwona straika Harry Kane kucheza eneo la kushambulia na si kwenye safu ya kiungo kama ambavyo alikuwa akitumika huko nyuma kwenye baadhi ya...
"Bruno aachwe" Amorim awajia juu wachambuzi wa Man United KOCHA Ruben Amorim amesema Bruno Fernandes ndio dhahabu ya Manchester United kwa sasa — hivyo amewataka mastaa wa zamani wa timu hiyo ambao kwa sasa ni wachambuzi wampumzishe na waache...
PRIME WANA KITU! Masupastaa hawa piga ua majina yao yatachomoza Ballon d’Or 2025 VINICIUS Junior anakabiliwa na ushindani mkali kwenye vita ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or 2025.
Fainali Carabao... Huku Salah, kule Isak MAMBO iko Wembley. Ndicho unachoweza kusema, wakati Liverpool itakapokipiga na Newcastle United kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi, Jumapili.
Bosi kasema... Man United itasajili MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amesema kocha Ruben Amorim ameanza kujadiliana na mabosi wa klabu juu ya mipango ya dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi...
Kimmich afichua siri kubaki Bayern KIUNGO fundi wa mpira, Joshua Kimmich amefichua kwamba sababu ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Bayern Munich kwa vile ni mahali anapoamini atafanikiwa kuliko kwenda kwingineko.