Klopp aitaka Real Madrid, Ujerumani RAFIKI wa karibu wa Jurgen Klopp, Miroslav Tanjga amedai kocha huyo anataka kuifundisha Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani kabla ya kustaafu.
Wakala wa Gyokeres kutua London WAKALA wa mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Victor Gyokeres anatarajiwa kutua London, mwezi ujao kufanya mazungumzo na baadhi ya timu zinazohitaji huduma ya mchezaji wake.
Chelsea yapewa uwanja London MKURUGENZI wa shirikisho la mchezo wa Rugby England, Bill Sweeney, yupo tayari kuwaruhusu Chelsea kutumia Uwanja wa Twickenham wakati wanaufanyia maboresho uwanja wao wa Stamford Bridge.
Palace yaichapa Man City, yabeba Kombe la FA CRYSTAL Palace imebeba taji la Kombe la FA baada ya kuichapa Manchester City bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika Wembley.
Wafanyakazi Man United wanyimwa tiketi VIGOGO wa Manchester United wamekataa kutoa tiketi za bure kwa wafanyakazi wa klabu kwa ajili ya fainali ya Europa League ikiwa ni juhudi za tajiri wa timu hiyo Sir Jim Ratcliffe za kupunguza...
Arsenal yaambiwa beba kipa Garcia ana kitu KIPA wa zamani wa Arsenal, Wojciech Szczesny amebonyeza kitufe cha bluu juu ya mpango wa klabu yake hiyo kumtaka kumsajili kipa wa Espanyol, Joan Garcia akiiambia ana kitu.
Arteta anavyotumia pesa nyingi kunasa Mastaa TOFAUTI kabisa na watangulizi wake, Mikel Arteta anapewa maisha yote ya kitajiri kwenye kikosi cha Arsenal, akipewa ruhusa ya kusajili staa yeyote kwa gharama yoyote.
Stars yaanza vyema maandalizi CHAN, ikiipiga The Cranes Taifa Stars imeanza vizuri kwenye mashindano maalumu ya CECAFA ya kujiandaa na Michuano ya CHAN 2024 baada ya kuichapa timu ngumu ya Uganda kwa bao 1-0.
Ten Hag amtaka Sterling CHAMA jipya la Erik ten Hag, Bayer Leverkusen linamfuatilia kwa karibu winga Raheem Sterling ikihitaji saini yake kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi, imeelezwa.
Ofa ya Liverpool yapigwa chini St James’ Park HABARI ndo hiyo. Newcastle United imekataa ofa ya kwanza ya Liverpool kwa ajili ya mshambuliaji wao Alexander Isak.