Katibu Mkuu CAF akaa pembeni, mrithi wake atajwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Veron Mosengo-Omba ameng’atuka katika nafasi yake baada ya leo, Jumapili, Mei 29, kuanika hadharani uamuzi wake.
Kisa Salah, mastaa kibao watajwa Liverpool LIVERPOOL ipo katika mchakato wa kuboresha safu ya ushambuliaji kwa kusajili washambuliaji wawili wapya kwenye dirisha lijalo la usajili wa kiangazi ambao pia wataziba pengo la Mohamed Salah...
Man City yaja na mbinu kali kumnasa Sandro Tonali MAN City ipo tayari kutoa baadhi ya wachezaji kama sehemu ya dili la kuishawishi Newcastle United kuiuzia kiungo Sandro Tonali, 25, dirisha la kiangazi.
Luis Enrique, Man United kuna jambo linakuja VYANZO vya kuaminika vimeweka wazi juu ya wapi kocha wa PSG, Luis Enrique, anaweza kufundisha msimu ujao, baada ya kuibuka kwa taarifa za kuhitajika na Manchester United.
Tuchel ampa onyo Maguire, akimfagilia Stones KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya beki wa Manchester United, Harry Maguire kuwa ana nafasi ndogo ya kuchaguliwa kikosi cha mwisho kitakachowakilisha katika Kombe la...
Watatu Arsenal wajiondoa kambini UNAWEZA kusema ni gundu. Wakati Mikel Merino, Eberechi Eze, William Saliba, Gabriel Magalhaes, Leandro Trossard na Martin Odegaard wote wakiwa majeruhi, kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amepata...
Cole Palmer achoshwa na maisha ya Chelsea STAA wa Chelsea, Cole Palmer, anadaiwa kukata tamaa juu ya maisha yake katika viunga vya Stamford Bridge na anaonekana kuwa tayari kuondoka mwisho wa msimu huu.
Iran yaitumia Nigeria kutuma ujumbe mzito duniani Timu ya taifa ya Iran juzi ilivaa vitambaa vyeusi mkononi na kushikilia mabegi ya shule wakati wimbo wao wa taifa ukipigwa kabla ya mechi dhidi ya Nigeria kama ishara ya kupinga shambulio...
Nisre Zouzoua ang’ara, Dar City yaitandika Johannesburg BAL WAKATI Dar City ikiichapa Johannesburg Giants ya Afrika Kusini katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika (BAL) juzi Ijumaa kwa pointi 100-70, Nisre Zouzoua alikuwa mwiba kwa...