PRIME Kipa Mnigeria atampindua Diarra Yanga? KIPA Amas Obasogie ameanza kuonyesha dalili za kuwa mshindani mzuri wa Djigui Diarra iwapo Yanga itaamua kuwa naye msimu ujao baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo katika kikosi cha Singida...
PRIME Simba yafanya umafia Misri, yapangua mambo matatu SIMBA imeendelea kufanya umafia kwenye michuano ya kimataifa baada ya kumaliza kazi mapema kabla ya mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali dhidi ya Al Masry ya Misri, huku ikipangua mambo...
Xavi Simons apigiwa mahesabu Liverpool Liverpool imeongeza juhudi katika harakati zao za kuiwania saini ya kiungo wa RB Leipzig raia wa Uholanzi, Xavi Simons, 21, ambaye anauzwa kwa kiasi kisichopungua Euro 80 milioni.
Mtoto wa Buffon kuchezea Jamhuri ya Czech MTOTO wa kipa mashuhuri wa Italia, Gianluigi Buffon, Louis amechagua kuitumikia Jamhuri ya Czech kwenye soka la kimataifa badala ya Azzurri, ambayo aliitumikia baba yake.
Hojlund Napoli, Osimhen Man United STRAIKA wa Manchester United, Rasmus Hojlund amewekwa kwenye rada ya Napoli na huenda dili lake likamhusisha straika wa Kinigeria, Victor Osimhen, imeelezwa.
PRIME WATATOBOA, HAWATOBOI: Kila mmoja ana msala wake Ligi Kuu England MSIMU wa Ligi Kuu England unaelekea ukingoni huku Liverpool ikijiweka kwenye wakati mzuri wa kunyakua taji lao la pili la michuano hiyo.
Vichaka vya straika Isak msimu ujao NEWCASTLE United itakuwa kwenye presha kubwa ya kupambana kubaki na huduma ya straika wao wa mabao, Alexander Isak dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi hasa baada ya kuwaongoza...
Chama, Musonda waendelea kutamba Zambia, Mutale amwagwa Licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza katika kikosi cha Yanga, kiungo mshambuliaji Clatous Chama na mshambuliaji Kennedy Musonda wameitwa katika kikosi cha Zambia kwa ajili ya mechi ya...
Huko Liverpool pancha kibao! HIVI karibuni hali ya Liverpool inaonekana kuwa sio nzuri kutokana na matokeo ambayo imekuwa ikiyapata katika michuano mbalimbali.
Greenwood hali si shwari MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akaondoka katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kocha Roberto de Zerbi kuendelea kutofurahishwa na utendaji kazi wake.