Nyota Aston Villa alizwa mimba kutoka NYOTA wa timu ya taifa la England, Bo Kearns kwa upande wa wanawake, amefichua kupoteza mtoto, ikiwa ni wiki chache baada ya kutangaza mjazito.
CAG aibua ‘madudu’ Uwanja wa Samia Arusha Kichere amesema kuwa kiwango cha fedha kilichotarajiwa kutumika katika ujenzi wa Uwanja huo ni kidogo kulinganisha na kile kilichosainiwa katika mkataba wa ujenzi huo.
De Zerbi atajwa Tottenham Hotspur, wanane wakichomoza HAKUNA namna. Mabosi wa Tottenham Hotspur wameripotiwa kupambana kumshawishi Muitaliano Roberto De Zerbi kuchukua jukumu la kuwa kocha mpya wa kikosi hicho, kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali.
Bosi Bayern Munich ahofia Kane kuondoka UONGOZI wa Bayern Munich ya Ujerumani umeanza kuwa na hofu juu ya mshambuliaji wao hatari, Harry Kane kuwa anaweza kushawishika kuondoka kutokana na ofa kubwa ambazo zinaweza kumimika kutoka...
Barcelona yapanga kukaa mezani na Lewandowski BARCELONA imepanga kumpa mshambuliaji wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, 37, mkataba mpya wa mwaka mmoja ambao utahusisha kumpunguza mshahara lakini kutakuwa na bonasi kubwa kulingana na...
Beckham amtetea Carrick kupewa ukocha wa kudumu Man United GWIJI wa Manchester United, David Beckham, anaamini kocha Michael Carrick anastahili kupewa mkataba wa muda mrefu zaidi kwa sababu ya mambo saba.
Salah; Tajiri anayewaliza Liverpool kimyakimya WIKI iliyopita ilikuwa ya maumivu makubwa kwa mashabiki wa Liverpool baada ya supasta wa kikosi hicho, Mohamed Salah kutangaza kuwa ataondoka ifikapo mwisho wa msimu.
Taifa Stars yaichakaza Macau FIFA Series Baada ya kuiongoza Taifa Stars katika mechi tano zilizopita bila ya ushindi sawa na dakika 450, hatimaye kocha, Miguel Gamondi ameonja ushindi wake wa kwanza katika mechi ya kimataifa dhidi ya...