KIBANDA UMIZA: Kisa kufungwa Simba, mwenye banda azima TV nyingine ukaangalie..” Ilichukua muda mfupi kwa malumbano hayo kabla ya jamaa kushikashika nyaya na baadaye kubonyesha kitufe kwenye rimoti na tv ikawaka watu wakaendelea kuangalia kama kawaida.
Mistari ya Ten Hag na siri nzito ndani ya Man utd NILIKUWA nasikiliza mazungumzo ya kwanza ya kocha wa Manchester United, Erik Ten Hag ambaye ameacha majonzi na masikitiko kule nchini Uholanzi baada ya kuachana na Ajax na kukubali ofa ya...
Clara, straika wa Yanga anayeiota England MOJA kati ya utani mkubwa kwa watu wa kabila la Wahehe ni kuambiwa eti wanakula Mbwa, na imekuwa hivyo kwa miaka mingi, japo wenyewe wamekuwa wakikanusha kuwa hawafanyi jambo kama...
Mashabiki Simba wakataa Yanga isipigiwe kinanda WAKATI Simba na Yanga zinaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza kipindi cha kwanza cha mchezo wa Kariakoo Derby, spika za uwanja wa taifa zilikuwa zilikuwa zinapiga wimbo maalumu wa CAF na suala...
Yanga vs Simba: Mapema tu kibanda umiza kimejaa IKIWA ni saa tano asubuhi na yamebakia masaa mengi kabla ya kufika saa 11:00 jioni ambapo mchezo wa Simba na Yanga utaanza, tayari mashabiki wamesha jazana kibanda umiza.
KIBANDA UMIZA: Shabiki Simba azima TV kibandani kisa Mayele Ukisikia utani usioumiza ndio huu sasa. Wakati mechi ya Yanga na Geita Gold inaendelea kule Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza wadau wa kibanda umiza walikita kambi Buguruni Malapa.
Tanzania yanukia kombe la Dunia Timu ya taifa ya Wanawake kwa umri chini ya miaka 17, imeanza vizuri kampeni yake ya kuwania kushiriki kombe la Dunia mwaka huu huko India.
Simba kimataifa shida ilianzia hapa KWA misimu minne mfululizo, Simba imekuwa ikiteseka na mabao yatokanayo na mipira ya juu ya krosi, kona na frii-kiki.
KIBANDA UMIZA: 'Simba wakirudi nitalala wapite juu' FURAHA ikizidi inaweza kukufanya uropoke tu. Wazee wa kibanda umiza tulipata nafasi ya kusafiri hadi maeneo ya Kivule kushuhudia mchezo kati ya Simba na US Gendarmerie uliopigwa wikiendi...
KIBANDA UMIZA: Simba kuwalipia Yanga viingilio MASHABIKI wa Simba wa kibanda umiza cha Dos Santos Arena kilichopo Tabata Kimanga wameahidi kuwalipia viingilio mashabiki wa Yanga katika mechi zote za Simba za Kombe la Shirikisho Afrika. Hii...