Neema aipaisha Tanzania Kwibuka T20 Rwanda Neema Pius alishirikiana vyema na Fatuma Kibasu kuifanya Tanzania kuibuka kinara wa mikimbio katika michuano ya Kumbukumbu ya Kwibuka iliyomalizika wikiendi iliyopita, jijini Kigali, Rwanda.
Tanga, Moro zang’ara UMITASHUMTA TIMU za Morogoro na Tanga zimeanza kwa moto michuano ya Michezo ya Shule za Msingi nchini (UMITASHUMTA) inayoendelea mkoani Iringa kwa kuzisambaratisha Dodoma na Dar es Salaam mtawalia.
Vita ya injini kurindima Dar BARABARA za vumbi ndani ya viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam zimeandaliwa kuelekea raundi ta tatu ya mbio fupi za magari, keshokutwa Jumapili.
Dar Sprint yamtega tena Birdi Tanganyika Packers BAADA ya kushinda mashindano matatu mfululuzo ya mbio za magari hadi nusu ya mwaka huu, Manveer Birdi atakuwa na mtihani mwingine mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Tanganyika Packers...
Pak Stars, Gymkhana zafunika daraja la tatu Ligi ya TCA-Diwa kwa wanaume, Ligi ya kufuzu michuano ya Caravans na Ligi B ya TCA kwa wanaume ndizo zilizoipamba kriketi mwishoni mwa juma.
Tanzania yapania taji Kwibuka T20 TIMU ya taifa ya Kriketi ya Wanawake imewasili, Rwanda tayari kwa michuano ya kriketi ya mizunguko 20 ijulikanayo kama Kwibuka Women T20 inayoanza kesho Jumanne jijini Kigali, ikitarajiwa kufikia...
TZ Green yaanza kibabe TCA Majaribio BAADA ya kupoteza mara nyingi dhidi ya TZ Blue katika mechi za majaribio kwa ajili ya kusaka kikosi cha timu ya taifa ya kriketi, TZ Green, hatimaye imeweza kufuta uteja baada ya ushindi wa...
Pandya arudi mbio za magari BINGWA wa zamani wa mbio za magari nchini, Dharam Pandya ametangaza rasmi kurudi mchezoni na atakuwa mmoja wa washiriki katika mbio za ufunguzi wa msimu mkoani Iringa mwishoni mwa juma.
Iringa kujenga uwanja wa gofu MKOA wa Iringa umeanza mkakati wa kujenga uwanja wa kisasa wa gofu utakaojulikana kama Mkwawa Golf Course ili kuendeleza mchezo huo mkoani huo na nchini kwa jumla.
Tanzania vitani mbio za magari ubingwa Afrika MADEREVA wa Tanzania, Yassin Nasser na Prince Charles Nyerere wanaingia vitani leo mjini Mbarara ambako raundi ya pili ya mashindano ya mbio za magari ubingwa wa Afrika yanaanza kwa mbio za mchujo.