Waliotemwa na kila timu Ligi Kuu England

WAKATI dirisha la usajili wa majira kiangazi nchini England linatarajiwa kufunguliwa Juni 9 mwaka huu, kuna baadhi ya wachezaji wameshaonyeshewa mlango wa kutokea.
Dirisha hili la usajili linatarajiwa kuendelea ndani ya wiki 12 hadi litakapofungwa Agosti 31.
Hii hapa orodha ya timu kutoka England iliyowaonyesha baadhi ya wachezaji wao mlango wa kutokea na wachezaji iliowasajili.
 

ARSENAL

WANAOONDOKA

David Luiz (kaachwa)
Levi Laing (kaachwa)
Joseph Olowu (kaachwa)
Luke Plange (kaachwa)
Jason Sraha (kaachwa)

ASTON VILLA

WANAOONDOKA

Ahmed El Mohamady (kaachwa)
Neil Taylor (kaachwa)
Tom Heaton (kaachwa)
Lewis Brunt (kaachwa)
Brad Burton (kaachwa)
Jack Clarke (kaachwa)
Charlie Farr (kaachwa)
Ben Guy (kaachwa)
Callum Rowe (kaachwa)
Harrison Sohna (kaachwa)
Michael Tait (kaachwa)
Jake Walker (kaachwa)

BRENTFORD

WANAOONDOKA

Jared Thompson (kaachwa)
Kane O’Connor (kaachwa)
Aubrel Koutsimouka (kaachwa)
Julien Carre (kaachwa)

BRIGHTON & HOVE ALBION

WANAOONDOKA

Jose Izquierdo (kaachwa)

BURNLEY

WANAOONDOKA

Robbie Brady (kaachwa)
Connor Barrett (kaachwa)
Jordan Cropper (kaachwa)
Ismail Diallo (kaachwa)
Marcel Elva-Fountaine (kaachwa)
Arman Taranis (kaachwa)
Matty Rain (kaachwa)
Mace Goodridge (kaachwa)

CHELSEA

WANAOONDOKA

Willy Caballero (kaachwa)  
Jamal Blackman (kaachwa)


CRYSTAL PALACE

WANAOINGIA
Jacob Montes (Georgetown University)


EVERTON

WANAOONDOKA

Theo Walcott (kaachwa)  
Matthew Penningtons (kaachwa)
Joshua King (kaachwa)
Yannick Bolasie (kaachwa)
Muhamed Besic (kaachwa)
Josh Bowler (kaachwa)
Dennis Adeniran (kaachwa)
Con Ouzounidis (kaachwa)
Callum Connolly (kaachwa)
Bobby Carroll (kaachwa)
Daniel Lowey(kaachwa)
Jack McIntyre (kaachwa)
Dylan Thompson (kaachwa)


LEEDS UNITED

WANAOONDOKA

Gaetano Berardi (kaachwa)  
Ouasim Bouy (kaachwa)
Barry Douglas (kaachwa)
Cole Gibbon (kaachwa)
Niklas Haugland (kaachwa)
Eunan O'Kane (kaachwa)
Matthew Turner (kaachwa)


LEICESTER CITY

WANAOONDOKA

Christian Fuchs (kaachwa)
Matty James (kaachwa)
Wes Morgan (kaachwa)


LIVERPOOL

WALIOSAJILIWA

Ibrahima Konate (RB Leipzig)


WANAOONDOKA

Liam Coyle (kaachwa)
Joe Hardy (kaachwa)
Abdi Sharif (kaachwa)
Jack Walls (kaachwa)


MANCHESTER CITY

WANAOONDOKA

Sergio Aguero (Barcelona)
Eric Garcia (Barcelona)


MANCHESTER UNITED

WANAOONDOKA

Sergio Romero (kaachwa)
Joel Pereira (kaachwa)
Jacob Carney (kaachwa)
Mark Helm (kaachwa)
Iestyn Hughes (kaachwa)
Arnau Puigmal(kaachwa)
Max Taylor (kaachwa)
Aliou Traore (kaachwa)


NEWCASTLE UNITED

WANAOONDOKA

Owen Bailey (kaachwa)
Oliver Walters (kaachwa)
Jude Swailes (kaachwa)
Yannick Toure (kaachwa)
Oliver Marshall (kaachwa)
Ludwig Francillette (kaachwa)
Florent Indalecio (kaachwa)
Kyle Scott (kaachwa)
George Rounsfell (kaachwa)
Lucas Gamblin(kaachwa)  
Lewis Brannen (kaachwa)
Tom Midgley (kaachwa)
Josh Gilchrist (kaachwa)  
Josh Harrison (kaachwa)
Tai Ebanks (kaachwa)

NORWICH CITY

WALIOSAJILIWA
 
Kenny Coker (Southend)

WANAOONDOKA

Alex Tettey (kaachwa)
Mario Vrancic (kaachwa)
Jordan Thomas (kaachwa)
Zach Dronfield (kaachwa)
William Hondermarck (kaachwa)
Louis Lomas (kaachwa)
Ethen Vaughan (kaachwa)

SOUTHAMPTON

WALIOSAJILIWA

Theo Walcott (Everton)

WANAOONDOKA

Ryan Bertrand (kaachwa)  
Jake Hesketh (kaachwa)
Josh Sims (kaachwa)
David Agbontohoma (kaachwa)
Lucas Defise (kaachwa)
Pascal Kpohomouh (kaachwa)
Kingsley Latham (kaachwa)
Kameron Ledwidge (kaachwa)
James Morris (kaachwa)
Thomas O'Connor (kaachwa)
Tommy Scott (kaachwa)

TOTTENHAM HOTSPUR

WANAOONDOKA

Danny Rose (kaachwa)
Paulo Gazzaniga (kaachwa)
Enock Asante (kaachwa)
Chay Cooper (kaachwa)
Keenan Ferguson (kaachwa)
George Marsh (kaachwa)
Rodel Richards (kaachwa)
Jack Roles (kaachwa)
Aaron Skinner (kaachwa)
Kazaiah Sterling (kaachwa)
Shilow Tracey (kaachwa)

WATFORD

WALIOSAJILIWA

Kwadwo Baah (Rochdale)
Mattie Pollock (Grimsby Town)
Imran Louza (FC Nantes)


WANAOONDOKA
Achraf Lazaar (kaachwa)
Carlos Sanchez (kaachwa)
Jerome Sinclair (kaachwa)
Mamadou M’Baye (kaachwa)

WEST HAM UNITED

WALIOSAJILIWA

Thierry Nevers (Reading)

WANAOONDOKA

Oladapo Afolayan (Bolton) (kaachwa)
Fabian Balbuena (kaachwa)
Sean Adarkwa (kaachwa)
Olatunji Akinola(kaachwa)
Samuel Caiger (kaachwa)
Alfie Lewis (kaachwa)
Joshua Okotcha (kaachwa)

WOLVERHAMPTON WANDERERS

WANAOONDOKA

Sadou Diallo (kaachwa)
Cyriaque Mayounga (kaachwa)
Hong Wan (kaachwa)