Iraq yafuzu Kombe la Dunia baada ya miaka 40 Iraq imekuwa timu ya mwisho kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika huko Marekani, Mexico na Canada baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 na dhidi ya Bolivia katika Uwanja wa...
DR Congo kwenye ramani ya soka la Dunia baada ya miongo mitano Baada ya kusubiri kwa zaidi ya nusu karne, hatimaye ndoto ya mamilioni ya Wakongo imetimia. Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefanikiwa kufuzu rasmi kushiriki michuano ya...
Messi alivyofunika rekodi ya Pele mipira ya free-kick NAHODHA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi anaendelea kuvunja rekodi mbalimbali na tangu alipoanza soka la ushindani zaidi ya miaka 20 iliyopita tayari keshazivunja zaidi ya 30 za nje na...
Tuchel akwepa mtego Arsenal HABARI ndio hiyo. Kocha wa England, Thomas Tuchel amefichua kuwa ruhusa aliyoitoa kwa mastaa wa Arsenal, wakiwemo Bukayo Saka na Declan Rice katika mechi ya kirafiki dhidi ya Japan haikuwa...
Fury, Usyk waletewa ‘Bwa mdogo’ KAMA kawaida yao Waingereza wameanza kupigia kelele jambo lao, si unawajua walivyo wakiwa na la kuongea, sasa mdomoni mwao yupo Moses Itauma ambaye ni kati ya mabondia hatari ambao wanachipukia...
Cristiano Ronaldo arejea mazoezini Al Nassr SUPASTAA wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo ameonekana akipiga tizi ikiwa ni mazoezi yake ya kwanza tangu alipoondoka katika tiba ya misuli baada ya kuumia na kuibua tabasamu wa nchi yake...
Real Madrid kumgeukia Enzo Fernandez kisa Rodri REAL Madrid inapanga kuhamia kwa kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez ikiwa itafeli kuipata saini ya staa wa Manchester City, Rodri, 29, katika dirisha lijalo la kiangazi.
Majanga! Uzi mpya Barca msimu ujao wavuja JEZI mpya zinazotarajiwa kuvaliwa na Barcelona msimu ujao zinadaiwa kuvunja mapema na kuibua hofu kuwa huenda tayari zimeshayafikia magenge ya kimafia yanayoweza kuanza kuzitengeneza na...
Rodriguez ala umeme, ‘pufya’ yamponza BONDIA wa Mexico, Francisco Rodriguez Jr, amefungiwa kushiriki mchezo wa ngumi kwa miaka miwili kufuatia kukutwa ametumia dawa zilizopigwa marufuku (pufya) baada ya pambano lake dhidi ya Galal...
Mustakabali wa Pulisic AC Milan shakani, mazungumzo yasimama MAZUNGUMZO ya kuongeza mkataba ya winga wa AC Milan, Christian Pulisic na timu yapo shakani yakiwa yamesimama kwa sasa kutokana na kushuka kwa kiwango chake cha uchezaji, matatizo ya kimwili na...