Neuer, Musiala, Wirtz wabeba tumaini la Ujerumani KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Julian Nagelsmann ametangaza rasmi kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 26 kitakachoiwakilisha nchi hiyo katika Fainali za Kombe la Dunia 2026 huku taarifa...
Wakali wa kila idara ligi tano bora Ulaya LIGI kuu tano bora barani Ulaya zinaanza kutamatika wikiendi hii, lakini kinachoeleweka tayari ni kwamba nne kati ya hizo zina mabingwa ikiwamo ile ya Hispania (LaLiga) ambako Barcelona wamebeba...
Mwisho wa ubabe AS FAR, Sundowns CAF AS FAR Rabat itaikaribisha Mamelodi Sundowns katika mechi ya marudiano ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa Jumapili hii Mei 24, 2026 mjini Rabat nchini Morocco, huku wenyeji...
Man United yamgeukia Alessandro Bastoni MANCHESTER United inajiandaa kutumia nafasi ya Barcelona kusuasua kufikia kiwango cha fedha kinachotakiwa na Inter Milan kwa ajili ya beki wa kati, Alessandro Bastoni, 23, ambaye anatawala kwa...
Jules Kounde hana furaha Barcelona BEKI mahiri wa kulia wa Barcelona, Jules Kounde huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu ikielezwa hana furaha katika kikosi hicho chini ya Kocha Hans Flicki wengi katika nafasi ya beki wa kulia...
Cristian Romero aikacha Spurs, atimkia Argentina Nahodha wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero amezua hofu baada ya kusafiri kwenda nchini kwao Argentina kushuhudia fainali ya klabu yake ya utotoni ya Belgrano, huku Spurs ikikabiliwa na mechi...
Ombi la Crystal Palace lagonga mwamba EPL Ligi Kuu ya England (EPL) imekataa ombi la Crystal Palace kutaka mechi ya mwisho ya msimu dhidi ya Arsenal ichezwe Jumamosi hii badala ya Jumapili.
Liverpool yaanza mazungumzo na Andoni Iraola Klabu ya Liverpool imeripotiwa kuanza mazungumzo ya siri na Kocha Mkuu wa Bournemouth, Andoni Iraola, huku mustakabali wa Arne Slot ndani ya Anfield ukiwa shakani baada ya msimu wa Ligi Kuu England.
Usyk apiga marufuku simu za familia kuelekea pambano la Rico Verhoeven BINGWA wa dunia wa uzani wa juu wa WBC, Oleksandr Usyk, ameonyesha nidhamu ya hali ya juu baada ya kupiga marufuku matumizi ya simu na ukaribu wa familia yake kwenye kambi yake ya mafunzo...