Liverpool yashusha pumzi kwa Isak STRAIKA wa Liverpool, Alexander Isak alirejea kwenye mazoezi kamili na kikosi hicho jana, Alhamisi, kwa mara ya kwanza mwaka huu, jambo linaloshusha pumzi kwa kocha Arne Slot, ambaye ana mechi...
Haaland aibuka mfungaji Bora kufuzu Kombe la Dunia Mshambuliaji wa Norway, Erling Haaland, amemaliza hatua ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 barani Ulaya akiwa kinara wa mabao, baada ya kufunga jumla ya mabao 16 na kuisaidia nchi yake...
FIFA yathibitisha Iran kucheza Kombe la Dunia Marekani Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, amesisitiza kuwa timu ya taifa ya Iran itashiriki Kombe la Dunia kama ilivyopangwa, licha ya mvutano wa kivita unaoendelea huko...
Majeraha yasiyopona hatari kubwa kwa wachezaji wanaotumika sana MWISHONI mwa wiki mbili zilizopita mpaka wiki hii, ligi mbalimbali duniani zilisimama ili kuwaruhusu wachezaji kushiriki mechi za kirafiki za kimataifa za FIFA.
Dar City ilivyopunguzwa kasi Sauzi Timu ya kikapu ya Al Ahly Ly kutoka Libya juzi usiku iliipunguza kasi Dar City kwa kuifunga pointi 118-97 katika Ligi ya Kikapu Afrika (BAL), mchezo uliofanyika katika uwanja wa ndani wa Sun Bet...
Mashabiki Spurs wamkataa De Zerbi UPINZANI dhidi ya uteuzi wa Roberto De Zerbi kuwa kocha mkuu wa Tottenham Hotspur unaongezeka miongoni mwa makundi rasmi ya mashabiki, kutokana na kauli zake zenye utata alizowahi kutoa kuhusu...
England bila Kane ni majanga KOCHA wa England, Thomas Tuchel ameshtukia kitu kwenye kikosi hicho kwa kusema washambuliaji waliopewa nafasi katika mchezo wa mwisho wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Japan ambao hakuwepo Harry...
Kounde, Balde waiwahi Atletico Madrid Wachezaji hao ni Jules Kounde, Alejandro Balde na Frenkie de Jong.
Tiger Woods avunja ukimya baada ya ajali na kukamatwa MCHEZAJI mashuhuri wa gofu, Tiger Woods amevunja ukimya na kuwaambia mashabiki wake kuwa anapambana kuwa sawa kiafya baada ya ajali ya gari, ambayo ilimsababisha kukamatwa kwa tuhuma za kukiuka...
Dili la Tonali, Manchester United bado lipo hai England MANCHESTER United imepata nafuu katika harakati za kumsajili kiungo wa Italia, Sandro Tonali 25, kutoka Newcastle United baada ya kuambiwa timu hiyo itakuwa tayari kuuza baadhi ya wachezaji...