WAKO POA! Kutoka mchangani hadi kuubonda mwingi Ligi Kuu England UMEONA zile sevu za David Raya anazofanya pale Arsenal? Au vile anavyofanya Ollie Watkins kuwakimbiza mabeki wa timu pinzani kwenye mechi za Ligi Kuu England akiwa na kikosi chake cha Aston Villa?
PRIME PUMZI YA MOTO: Ulegevu Simba, Yanga siyo kwa Karia tu, hata Tenga na wengine SAKATA la kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi bado linaendelea na kufunika kila kitu kinachoibuka katikati yake.
PRIME Hii vesti kiboko ya wachezaji wavivu KWENYE soka la kisasa, mchezaji anaposajiliwa kutoka timu moja kwenda nyingine, kuna vitu vingi vinazingatiwa. Ipo hivi, baada ya skauti wa timu A kumwona mchezaji wa timu B na kuvutiwa naye...
Sudan yaizuia Sudan Kusini Uwanja wa Ndege kwa saa 3 TIMU ya taifa ya mpira ya Sudan Kusini, 'Bright Stars', iliripotiwa kukwama kwenye uwanja wa ndege wa Benina huko Benghazi nchini Libya baada ya kuwasili kwaajili ya mchezo wa kufuzu ushiriki wa...
Onana, Ederson kuziingiza vitani Man United, Man City MANCHESTER UNITED wako tayari kumuuza kipa wao namba moja Andre Onana kwenda Saudi Arabia katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ni katika mpango wa kocha wao Ruben Amorim kusuka upya...
Kevin De bruyne, Marekani ipo hivi KIUNGO wa Manchester City Kevin de Bruyne ameripotiwa kuzungumza na San Diego ya Marekani juu ya uwezekano wa kujiunga nayo katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi pale mkataba wake...
Kocha Liverpool awaonya mastaa wake KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amewatahadharisha wachezaji wake kwamba milele wataandamwa na kuimbwa ikiwa watashindwa kushinda taji la Ligi Kuu England msimu huu.
Mwambusi ashtukia jambo Coastal Union KOCHA wa Costal Union ya Tanga, Juma Mwambusi, ameshtukia kitu ndani ya timu hiyo huku akijipanga kukomaa na safu yake ya ulinzi iliyoonyesha dosari kubwa huku zikisalia mechi saba kumaliza msimu...
PRIME Yanga yamwekea mtego winga Azam FC YANGA inapiga hesabu za kuwa na winga wa maana anayetumia mguu wa kushoto kwa msimu ujao na akili hiyo imetua kwa mtu mmoja mtunguaji ndani ya Azam FC.
Ukimtaka Ronaldo kila saa ni Sh696 milioni KITABU cha Football Leaks ambacho kimekuwa kikitoa taarifa za ndani kuhusiana na masuala ya mpira wa miguu, kimefichua kuwa ili kumpata staa wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano...