Jamie Vardy hana bahati, ashuka tena na Cremonese Baada ya kushuka na Leicester City msimu wa 2024/25, nyota wa zamani wa timu ya taifa ya England, Jamie Vardy anaendelea kupitia kipindi kigumu kisicho na bahati baada ya kushuka daraja misimu wa...
Serengeti Girls isikate tamaa, nafasi ipo JUZI Jumamosi, timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17 ilicheza dhidi ya Afrika Kusini mechi ya kwanza wa raundi ya pili ya kusaka tiketi ya Kombe la Dunia kwa wanawake chini ya miaka 17.
Arsenal yamaliza EPL kibabe, West Ham yashuka daraja Arsenal imenogesha sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) msimu huu baada ya leo Jumapili, Mei 24, 2026 kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Crystal Palace kwenye Uwanja wa...
Tiketi ya Sh5 bilioni Kombe la Dunia, mhudumu ni Infantino MASHABIKI wa soka duniani wamepata afueni kidogo kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya bei za tiketi kuanza kushuka katika soko la kuuza tena tiketi, lakini tiketi za mchezo wa fainali zikiwa ni...
Carvajal ana ishu na Inter Miami Nahodha wa klabu ya Real Madrid, Dani Carvajal, ametangaza kuondoka kwenye klabu hiyo baada ya kuitumikia kwa vipindi viwili tofauti ndani ya miaka 23.
Carrick afichua mpango wa kusuka upya kikosi KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick amesema klabu hiyo lazima iendelee kusonga mbele dirisha muhimu la usajili wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.
Mo Salah aacha ujumbe mzito kwa Slot, wachezaji NYOTA wa Liverpool, Mohamed Salah amemtaka Kocha Arne Slot na wachezaji wa timu hiyo kuhakikisha wanatwaa ubingwa msimu ujao baada ya mechi yake ya mwisho akiwa na klabu hiyo.
Magwiji wawili waangwa Real Madrid MASHABIKI wa Real Madrid juzi waliwaaga kwa hisia kubwa wachezaji wao wapendwa, David Alaba na Dani Carvajal, katika usiku wa historia uliokuwa umejaa heshima kwenye Uwanja wa Santiago Bernabéu.
Wembanyama alinganishwa na Giannis kuvunja sheria NBA WAKATI San Antonio Spurs ikipigania nafasi ya kutinga fainali ya Ukanda wa Magharibi, nyota wake Victor Wembanyama ameibua mjadala mpya ndani ya ligi ya mpira wa kikapu ya NBA.
Wachezaji wenye umri mdogo zaidi waliofunga Kombe la Dunia KOMBE la Dunia ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, na kwa miaka mingi yamekuwa kama jukwaa la kuzaliwa kwa nyota wakubwa wa mchezo huo duniani.