Manula, Samatta kuwakosa Morocco KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kukosekana kwa nahodha Mbwana Samatta kutaliwezesha benchi la ufundi kuwa na mpango mbadala katika mchezo wa...
PRIME Fadlu: Mastaa Simba waliitaka Dabi KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amepongeza juhudi za wachezaji wa timu hiyo baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars na kutinga 16 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini akifichua kuhusu Dabi...
Mbele ya Mpanzu kazini kwa Balua kuna kazi EDWIN Balua alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotarajiwa kung’ara ndani ya kikosi cha Simba SC msimu huu, hasa baada ya kuonyesha kiwango bora chini ya Juma Mgunda mwishoni mwa msimu uliopita...
Simba yaichapa TMA, yafuzu 16 bora SIMBA imetinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) kufuatia kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, leo, ambapo...
Minziro akalia kuti kavu Pamba JIji KOCHA wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’, amejikuta kwenye presha kubwa kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo katika mechi mbili zilizopita za ligi, hali inayochochea madai baadhi ya wachezaji...
Beki Azam atua Ulaya BEKI wa kushoto raia wa Senegal, Cheick Sidibe amejiunga na klabu ya HJK Helsinki ya Finland akiwa mchezaji huru baada ya kuachana na matajiri wa Chamazi, Azam FC.
Wanawake michezoni... Mabadiliko na staili za maisha KATIKA miaka ya hivi karibuni, kumekuwapo na mabadiliko makubwa katika mitindo ya maisha ya wanawake Tanzania. Ni dhahiri wanawake wanapata nafasi zaidi ya kushiriki katika michezo na shughuli za...
Mwamnyeto anavyotembelea njia ya Terry KATIKA soka mara nyingi wachezaji hupitia mabadiliko kwenye majukumu yao hasa wanapokutana na ushindani mkubwa wa namba.
Azam FC morali juu, Kocha atamba USHINDI wa mabao 4-0 walioupata Azam dhidi ya Tanzania Prisons umeleta ahueni kubwa kwa kikosi cha matajiri hao wa Chamazi, baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutoa sare tatu mfululizo katika...
PRIME Dabi ya Kariakoo: Mechi ya kasi na ufanisi KUELEKEA Kariakoo Dabi wikiendi hii, macho na masikio ya mashabiki yatakuwa kwa mawinga wa Simba na Yanga, wachezaji wanaoweza kubadili matokeo kwa kasi, uwezo wa kutengeneza nafasi, na...