Makalla amzawadia Chobwedo njumu, amtaka kuendelea kupambana
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Gabriel Makalla leo Jumanne Aprili 21, 2026 amekutana na kumpatia zawadi ya viatu winga wa TRA United, Ramadhan Salum "’Chobwedo’, akimsifu kwa kiwango kizuri...