Doku: Nikiongeza tu mabao nakuwa winga bora duniani ANAJISIFU? Bila shaka ana kitu miguuni mwaka. Kasi, nguvu ya kushambulia na ustadi wa haraka wa kupiga chenga, winga wa Manchester City, Jeremy Doku ni jinamizi kwa mabeki wa timu pinzani katika...
Nyuma ya vita ya ubingwa Ufaransa TAYARI bingwa wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga) ameshafahamika, Bayern Munich, lakini timu katika ligi zingine zinaendelea kupambana kusaka ubingwa na lolote linaweza kutokea kati ya sasa mwisho...
EPL na hesabu za vidole Ligi ya Mabingwa Ulaya NAFASI za kushiriki mashindano ya Ulaya kutoka Ligi Kuu England msimu ujao bado zinabadilika-badilika, jambo linaloacha msisimko mkubwa hadi siku ya mwisho ya kipute cha ligi hiyo bora zaidi...
Ubingwa EPL ni 50 kwa 50 MSIMU wa 2025/26 unakaribia kufika mwisho, ambapo ni ligi moja tu kati ya tano bora Ulaya ambayo imeshapata bingwa, Ujerumani (Bundesliga). Bayern Munich imeshatangazwa bingwa kwa msimu mwingine...
Skendo! Mastaa 70 Serie A wachunguzwa biashara ya ngono Mvutano mkubwa umetanda katika soka la Italia baada ya takribani wachezaji 70 wa Ligi Kuu Italia (Serie A) kuhusishwa na uchunguzi wa mtandao wa ukahaba unaodaiwa kuendeshwa katika Jiji la Milan,...
Michael Carrick aweka wazi hatma yake Man United Kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amesema hana presha wala hafuatilii kwa karibu mjadala wa hatima yake katika klabu hiyo, akisisitiza kwa sasa mawazo yake yote yapo kwenye kazi...
Enzo Fernández aingia anga za Manchester City MANCHESTER City inafikiria kufanya jaribio la kumsajili kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernández, 25, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
El Clasico ya utata kwa Mbappe, ikimkosa Yamal Mechi kubwa ya El Clasico kati ya FC Barcelona na Real Madrid imeingia katika sintofahamu mpya baada ya mastaa wake wawili muhimu Kylian Mbappé na Lamine Yamal kuwekwa kwenye hatari ya kuikosa.
Enzo Maresca achomoza warithi Guardiola Man City KOCHA wa zamani wa Chelsea FC Enzo Maresca ameibuka kinara katika orodha ya makocha wanaoweza kumrithi Pep Guardiola Manchester City, iwapo Mhispania huyo ataamua kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Christopher Tebandeke: Kuwakaba Libase, Oura sio rahisi YANGA, Simba na Azam zinatajwa kuwa ndiyo zenye wachezaji wenye makali zaidi Ligi Kuu Bara msimu huu linapokuja suala la kucheka na nyavu, hilo linathibitishwa na msimamo wa ligi hiyo ulivyo...