Canada yashindwa kutamba nyumbani ikilazimishwa sare Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia&Herzegovina.
KMC rasmi imeshuka daraja baada ya misimu nane Ligi Kuu Klabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC) imeshuka rasmi daraja na itashiriki Ligi ya Champion-ship msimu ujao baada ya kudumu kwa misimu minane mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Partey anyimwa viza kuingia Canada Kombe la Dunia WAKATI Ghana ikijiandaa kucheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Panama Alhamisi ijayo mjini Toronto nchini Canada, itaikosa huduma ya kiungo wake, Thomas Partey.
Cristiano Ronaldo, nahodha mwenye namba zake mbele ya Bruno CRISTIANO Ronaldo (CR7) na Bruno Fernandes ni mastaa wa soka, mashujaa wa Ureno na nyota waliocheza pamoja Manchester United, walipokutana kwa muda mfupi wakati Ronaldo aliporejea kwa Mashetani...
Jimenez shujaa wa Mexico aliyenusurika kifo uwanjani Huenda Dunia isingemshuhudia mshambuliaji wa Mexico, Raul Jimenez akifunga bao la pili jana dhidi ya Afrika Kusini katika mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kutokana na changamoto aliyopata...
Aibu FIFA Kombe la Dunia viti kibao vikibaki wazi IDADI kubwa ya viti visivyo na watu ilionekana wakati Korea Kusini ilipogeuza matokeo na kuifunga Czech katika mechi ya pili ya Kombe la Dunia iliyopigwa jana, katika tukio lililobua mjadala...
KAMA ZARI: Senesi kutoka fukwe za Ibiza hadi Kombe la Dunia WAKATI wachezaji wengi wakitumia kipindi hiki kupumzika baada ya msimu mrefu, beki mpya wa Tottenham Hotspur, Marcos Senesi amejikuta akikatisha likizo yake baada ya kupata zali la mentali.
Vurugu zatikisa ufunguzi wa Kombe la Dunia, Mexico VURUGU ziliibuka wakati wa ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2026, baada ya waandamanaji kupambana na polisi wa kutuliza ghasia nje ya Uwanja wa Mexico City uliokuwa ukitumika kwa mechi hiyo...
Penzi la Zari, Shakib lafikia mwisho, waachana Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu kutoka Uganda, Zarinah Hassan maarufu kama ‘Zari The Boss Lady’ na mumewe wa muda mrefu Shabiki Lutaaya ametangaza kuachana rasmi baada ya kudumu kwa miaka...
Fadlu apewa mkono wa kwaheri Raja Casablanca Raja Casablanca imetangaza kuachana rasmi na Kocha wa zamani wa Simba, Fadlu Davids usiku wa kuamkia leo, Juni 12, 2026.