Mwamuzi wa kike Mmarekani kuandika rekodi Kombe la Dunia
MWAMUZI wa kike kutoka Marekani, Tori Penso anatarajiwa kuandika rekodi baada ya leo Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kumteua kusimamia mechi ya pili ya kundi A Kombe la Dunia kati ya...