He! Arsenal yaajiri kocha wa mipira ya kurusha ARSENAL inataka iwe tishio zaidi kwenye mipira iliyokufa baada ya kumchukua gwiji wa mipira ya kurusha, Thomas Gronnemark.
European Super League imekufa rasmi REAL Madrid na UEFA zimetangaza kuwa zimefikia rasmi hatma ya mgogoro wao wa kisheria kuhusu pendekezo la kuanzishwa kwa Ligi ya European Super League.
Motsepe afichua siri fainali Simba, Berkane Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Patrice Motsepe amefichua kuwa alitamani mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Berkane, Mei 25, 2025...
West Ham yalia na VAR UONGOZI wa West Ham United unatarajiwa kuwasiliana rasmi na bodi ya waamuzi England, PGMO, kuomba maelezo kutokana na uamuzi wa VAR kufuta bao lao la dakika za mwisho dhidi ya Arsenal, Jumapili...
Kipa Spurs ageukia 'Udijei' ALIYEKUWA kipa wa Tottenham Hotspur, Alfie Whiteman, ameanza maisha mapya nje ya soka akiwa mkurugenzi wa filamu, mwigizaji, dijei (DJ) na mpiga picha baada ya kustaafu mchezo huo akiwa na umri...
Bandari, Planet kinapigwa fainali ya pili JOTO la fainali ya pili ya Dunda Swish Tournament linazidi kuzikumba timu za Bandari Mwanza na Bugando Planet.
Kipa amtwisha ngumi beki Hispania KIPA wa Real Zaragoza, Esteban Andrada yuko kwenye hatari ya kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu baada ya kumpiga ngumi beki wa timu pinzani wakati wa mechi ya ligi daraja la pili nchini Hispania.
Vijana wanolewa Mambo Youth Challenge, BDL yanukia ZAIDI zaidi ya 50 wenye umri chini ya miaka 18, wameshiriki katika mafunzo ya siku moja ya kikapu ya Mambo Youth Challenge, kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Zanaki, jijini Dar es Salaam.
Arteta afichua 'kismati' cha Bukayo Saka KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema staa wao Bukayo Saka amekuwa msaada mkubwa hasa kipindi hiki klabu inapambana kushinda mtaji.
Bayern kufanya pati ya ubingwa Jumapili MIAMBA ya soka la Ujerumani, Bayern Munich wataungana na mashabiki wao katika sherehe kubwa ya kutwaa ubingwa wa Bundesliga 2025/26 itakayofanyika Marienplatz, Jumapili, Mei 17, 2026