Staa Chelsea afungiwa miaka minne, akata rufaa CAS MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Mykhailo Mudryk amepewa adhabu ya kufungiwa miaka minne na Cham,a cha Soka England (FA), baada ya kupimwa na kukutwa na dawa iliyopigwa marufuku 2024, kwa mujibu wa...
WANAAMUA! Usiku mdogo wa Ulaya unavyomalizika BAADA ya zaidi ya miaka 40 tangu walipocheza nusu fainali ya mwisho ya mashindano makubwa ya Ulaya, Nottingham Forest wanarejea hatua hiyo muhimu wakitarajia kumenyana na Aston Villa katika mechi...
Kipa Spurs ageukia 'Udijei' ALIYEKUWA kipa wa Tottenham Hotspur, Alfie Whiteman, ameanza maisha mapya nje ya soka akiwa mkurugenzi wa filamu, mwigizaji, dijei (DJ) na mpiga picha baada ya kustaafu mchezo huo akiwa na umri...
PRIME Unazikumbuka dabi hizi tano ziliopigwa Zanzibar? WAKATI wa jadi wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, wanakutana leo, Alhamisi, Unguja, Zanzibar kuwania Kombe la Muungano.
Rooney amkosoa Kane, rekodi zikivunjwa Ulaya NYOTA wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amemkosoa Harry Kane baada ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne iliyomalizika kwa Paris Saint-Germain kuibuka na ushindi wa...
Shakhtar kupoteza mamilioni sakata la dawa haramu la Mudryk KLABU ya Shakhtar Donetsk inatarajiwa kupoteza kiasi cha Pauni 26 milioni kutokana na sakata la matumizi ya dawa haramu michezoni linalomkabili mchezaji wao wa zamani, Mykhailo Mudryk ambaye kwa...
Simeone athibitisha Alvarez kuwaniwa na Arsenal, PSG, Barcelona KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone amethibitisha kuwa Arsenal ni miongoni mwa klabu zinazomuwania mshambuliaji wao, Julian Alvarez.
Pointi 40 zitatosha? Vita ya kushuka daraja EPL yapamba moto LIGI Kuu England (EPL), imetinga katika hatua ya 34 ikiwa imebakiza raundi nne ili kumalizika kwa msimu wa 2025/26 unatarajiwa kukamilika ifikapo Mei 24, mwaka huu, lakini ikiwa imejikita sasa...
Ombi la Man City lakwama, wapinzani EPL wachachamaa MANCHESTER City wanaonekana kushindwa katika jitihada za kubadilishiwa ratiba ya mechi dhidi ya Crystal Palace na Bournemouth, licha ya kukabiliwa na mzigo wa kucheza mechi tatu muhimu ndani ya...