Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

966 results for Oscar Oscar :

  1. Kakway anacheka tu na nyavu huko

    WAKATI mafundi wa kutupia katika maeneo ya mitupio mitatu ‘three pointi’ wakichuana vikali katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa dar es Salaam (BDL), mchezaji Abdul Kakwaya wa DB Oratory anaongoza...

  2. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Umeona kombe la Afrika Kwa Mkapa?

    MATAMASHA ya Simba na Yanga kuelekea msimu mpya yalifanyika katika Uwanja wa Mkapa wikendi iliyopita, lakini sijaona Kombe la Afrika. Labda bado ni mapema sana. Labda ni suala la kuwa na subira.

  3. Liverpool yaipiga Man United, Chelsea yachapwa

    Liverpool imemaliza kwa mkwara mzito maandalizi ya msimu mpya wa 2024/2025 baada ya kuichapa Manchester United mabao 3-0 kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Williams Brice nchini Marekani.

  4. NYUMA YA PAZIA: Moussa Diaby ameona mambo yasiwe mengi

    UTAAMUA unachotaka katika maisha. Na wakati mwingine ukitaka kumuua nyani usimtazame sana usoni. Rafiki yetu Mfaransa Moussa Diaby ameamua kutomuangalia sana nyani usoni. Katika mfano huu mgeuze...

  5. Balaa la Simba Day 2024… Unyama sana!

    KAMA hadi sasa bado hujanunua tiketi ya Tamasha la Simba Day, baki nyumbani tu. Kwani hiyo kesho, ambapo kutakuwa na pati ya Simba Day, hutaweza kupata uhondo.

  6. PRIME UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kama tunataka kombe la Afrika tupunguze usela

    NDOTO ya klabu za Simba na Yanga kwa sasa ni kuja kutwaa ubingwa wa Afrika. Safari hiyo siyo mbali sana wala karibu sana. Ni kama tumeshasogea pa kubwa na ni kama bado tuko mbali.

  7. Embiid ampiga Lebron Olimpiki

    KWA wanaofuatilia mbio za magari duniani (formula one) mwaka huu, basi wapo kwenye kilele cha msisimko mkubwa uliopo kwenye mbio hizo msimu huu. Tukiwa ndani ya mbio za 12 za kuugawa msimu kabla ya...

  8. Manchester United kuingilia dili la Rabiot

    BAADA ya siku chache zilizopota taarifa mbalimbali kufichua kwamba kiungo wa zamani wa Juventus ambaye kwa sasa yupo huru Adrien Rabiot amefanya makubaliano na Liverpool na anatarajiwa kuwasili...

  9. MZEE WA KALIUA: Ahmed Ally ni kama jeshi

    KAMA kuna mtu anafanya kazi ngumu kwenye mpira wa sasa hapa nchini ni meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba. Ahmed Ally ndilo jina lake. Wakati mwingine unahitaji kujifyatua akili.

  10. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Pacome kuanzia benchi msimu ujao?

    MOJAWAPO wa maswali magumu kwa sasa ni kujua nani ataanza katika kikosi cha kwanza cha Yanga kati ya Pacome, Maxi, Aziz Kİ, Dube na Chama. Wote wanaonekana kuwa wachezaji bora. Wote wana sifa za...

Previous

Page 7 of 97

Next