Luis Enrique ashtukia janja ya Arsenal KOCHA wa Paris Saint Germain, Luis Enrique anaamini Arsenal itatumia mbinu za kupaki basi kama itatangulia kufunga bao la mapema.
Refa Stellenbosch, Simba abadilishwa ghafla Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya ghafla ya refa wa mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Stellenbosch na Simba itakayochezwa...
Raphinha awekewa mzigo wa maana Saudia AL-Hilal imewasilisha ofa ya Pauni 75 milioni kwenda Barcelona kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa timu hiyo ya Catalunya, Raphinha, 28, ambaye inahitaji kumsajili katika dirisha la majira ya...
Rashford aitaka Ligi ya Mabingwa Ulaya MSHAMBULIAJI wa Manchester United anayekipiga kwa mkopo Aston Villa, Marcus Rashford ameanza kutafuta timu nje ya England baada ya kuona hawezi kurudi Old Trafford mwisho wa msimu na anataka...
Salah kumpeleka Osimhen Saudi Arabia BAADA ya kufeli katika harakati zao za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah dirisha lijalo la majira ya kiangazi, matajiri wa Saudi Arabia, Al-Hilal wanaripotiwa kubadilisha...
Meridian Bet Tanzania | Jinsi ya kujisajili | www.meridianbet.co.tz | Promo code: 1109 Meridian bet Tanzania nikampuni ya kubeti nchini tanzania iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria. Katika kampuni hii unaweza kubeti au kucheza Casino Mtandaoni.
EPL ni neema TIMU za Ligi Kuu England, Manchester United, Arsenal na Liverpool ambazo zinapambana kutafuta pesa kwa ajili ya kufanya usajili ili kuboresha vikosi ziko mbioni kupokea mapato makubwa baada ya...
Kocha PSG apuuza kona za Arsenal KOCHA wa PSG, Luis Enrique amepuuzilia mbali uwezo wa Asenal katika mipira ya kona akisema watajiandaa kuelekea mchezo huo kama wanajiandaa dhidi ya timu zingine. PSG itafanya safari kwenda...
TAJIRI ANAUMIA: Mmiliki wa zamani ana jambo Chelsea TAJIRI na mmiliki wa zamani wa Chelsea, Roman Abramovich anadaiwa kuwa bado roho inamuuma juu ya kuiuza timu hiyo ambayo kwake ilikuwa ni sehemu ya furaha yake.
Vigogo wawili wazidi kumgombea Wirtz MANCHESTER City, Liverpool na Arsenal wanamnyatia kiungo mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi lakini timu yake inahitaji kiasi...