Fenerbahce yamkomalia Rashford FFENERBAHCE imerudi tena Manchester United ikimtaka mshambuliaji wa timu hiyo na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 28.
Real Madrid mzigoni ikiulizwa mara tano JOSE Mourinho amerejea Real Madrid, Vinicius Junior amejifunga na klabu hiyo kwa mkataba mpya, huku Kylian Mbappe akitoka kushinda Kiatu cha Dhahabu katika Kombe la Dunia. Kuna maswali matano...
MIUJIZA! Ubingwa EPL unapopishana na Ngao ya Jamii NGAO ya Jamii ni mchezo wa jadi wa kufungua msimu wa soka duniani kote katika miaka ya karibuni. Lakini, unaweza kuwa kiashiria kizuri cha timu itakayoshinda taji la Ligi Kuu England (EPL)?
Kila bao chini ya VS, kanuni mpya zafichua mamlaka ya mwamuzi KANUNI mpya za Ligi Kuu Tanzania Bara za mwaka 2026 zimeweka utaratibu wa matumizi ya teknolojia ya Video Support System (VS), ikilenga kupunguza utata katika uamuzi wa waamuzi wakati wa michezo.
Chelsea yaitaka pauni 100 milioni kwa Neto Chelsea imeweka bei ya karibu pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wake wa pembeni, Pedro Neto, ikiwa klabu yoyote itataka kumsajili katika dirisha hili la usajili.
Jamie Carragher: Carrick hawezi kuibeba Man United Gwiji wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher, amedai Michael Carrick hana kile alichokiita “sifa” ya kutosha kuirejesha Manchester United kwenye kilele cha soka la England na Ulaya.
Juventus yakwama kumsajili Martinez Mpango wa Juventus kumnasa kipa wa Aston Villa, Emiliano Martinez umeanguka licha ya klabu hiyo ya Ligi Kuu England kuwa tayari imeanza kutafuta mrithi wake.
Hawa hapa kumrithi Rodri Man City Mabingwa wa La Liga, Barcelona wamefikia makubaliano ya kumsajili nahodha wa timu ya taifa ya Hispania, Rodri, kutoka Manchester City kwa ada inayokadiriwa kufikia pauni milioni 65.