Casemiro ang’ang’ania kuondoka Man United mwisho wa msimu KIUNGO mkongwe wa Manchester United, Casemiro ameweka wazi hatma yake kwa kusisitiza kuwa hatabadili uamuzi wake wa kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu, licha ya wito kutoka kwa...
Yanga yamfuta kazi Pedro Goncalves, Moallin kukaimu Dakika chache baada ya Yanga kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC, uongozi wa timu hiyo leo Jumatano, Mei 6, 2026 umetangaza kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves raia wa Ureno.
Atletico yachefukwa kunyimwa penalti ATLETICO Madrid inadai kuchukizwa na kile kilichotokea katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal kufuatia kichapo cha bao 1-0 kilichoiondoa juzi kwenye...
Vigogo Marekani wamgombania Casemiro LOS Angeles Galaxy na Inter Miami za Ligi Kuu Marekani zimeonyesha kuvutiwa na kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya Brazil, Carlos Henrique Casimiro maarufu Casemiro mwenye umri wa...
Drogba: Kufanya kazi kwa bidii ndio ufunguo wa mafanikio Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City ilipata mualiko wa kuhudhuria uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo jana katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Alisson Becker sasa anukia Juventus JUVENTUS imemuweka kipa wa Liverpool na Brazil, Alisson Becker, 33, katika vipaumbele vyao vya usajili wa dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Nyota 23 wa DR Congo kucheza BDL 2026 WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ikitarajiwa kuanza Mei 16, mwaka huu, wachezaji 42 wa kimataifa wamesajiliwa katika timu tofauti, huku 23 wakiwa Wakongomani.
Shamsa Ford afunguka siri ya ndoa imara, changamoto za filamu MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Shamsa Ford ni mmoja wa wasanii ambao wamedumu kwenye ndoa zao tangu waamue kuingia katika hali hiyo miaka ya nyuma.
UEFA CL Bayern vs PSG, vita ya mwisho Allianz Arena Leo, Jumatano dunia itasimama kushuhudia mechi nyingine ya kuwania kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya wawili wa soka la Ulaya, Bayern Munich na Paris Saint-Germain, katika dimba la...
Ramani ya Xabi Alonso akitua Chelsea CHELSEA imepitia katika kipindi kigumu ndani ya kipindi kifupi, ambapo imeachana na makocha wawili ndani ya miezi minne ya mwaka 2026 na sasa iko chini ya kocha wa muda, Calum McFarlane na hivyo,...