Dakika 90: Kuvunja urafiki wa Haaland, Bellingham WATU wengi wamewahi kucheza soka dhidi ya marafiki zao, lakini si wengi wanaoweza kusema walikutana uwanjani katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia. Hilo ndilo litakalowakuta Erling...
Misri yalia mwamuzi kuwanyonga ZIKIWA zimesalia dakika 12 kabla ya muda wa kawaida kumalizika, Misri ilikuwa ikikaribia kupata matokeo makubwa zaidi kuwahi kuyapata katika historia yake ya Kombe la Dunia.
Ronaldo na kilio cha mtu mzima UKIONA mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo...' Ndicho kilichoonekana kwa chozi la mshambuliaji wa Cristiano Ronaldo baada ya kukiri hili ilikuwa Kombe lake la Dunia la mwisho, lakini...
Messi aibeba Argentina, yatinga robo fainali dakika za jioni BINGWA mtetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, imeonyesha kwa mara nyingine kuwa ni moja ya timu hatari zaidi duniani baada ya kutoka nyuma kwa mabao mawili na kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya...
'Trump Dance' ya Ubelgiji gumzo NYOTA wa Ubelgiji baada ya kuichapa Marekani aliamua kufanya utani kwa kucheza "Trump Dance." kwa mtindo wa kucheza muziki wa Rais Donald Trump.
Jordan Henderson hatihati England KIUNGO wa England, Jordan Henderson anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kifundo cha mkono, huku ushiriki wake uliosalia Kombe la Dunia ukitia shaka.
Georgina Rodriguez avunja ukimya MCHUMBA wa nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez, amevunja ukimya kwa kumuonyesha sapoti nyota huyo baada ya ndoto yake ya kutwaa Kombe la Dunia kufikia mwisho.
Mauricio Pochettino afunguka hatma yake KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atachukua muda wa kupumzika baada ya kumalizika kwa kampeni ya Kombe la Dunia kabla ya kufanya uamuzi kuhusu mustakabali wake.
Rais Trump amsifia tena Harry Kane RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa sifa nahodha wa England, Harry Kane, akimtaja kuwa mmoja wa wachezaji bora na kufichua kuwa aliwahi kucheza naye mchezo wa gofu.