Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

973 results for Oscar Oscar :

  1. Azam iliwapoteza Yanga hapa tu

    SIO mwanzo mzuri katika kikosi cha Yanga baada ya kocha mpya, Mbelgiji Luc Eymeal kupoteza mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar na jana Jumamosi dhidi ya Azam Fc. Pia...

  2. Masikini! Sonso ajifunga, kadi nyekundu Yanga yachapwa 1-0 Azam FC

    Hicho ni kipigo cha pili kwa Yanga wakiwa chini ya kocha Luc Eymael ambaye leo alipewa kadi njano na mwamuzi kutokana na kumtolea maneno makali.

  3. Azam v Yanga: Ni vita ya rekodi ya kibabe zaidi

    Tangu mwaka 2010 timu hizo zimekutana mara 18 na kila moja imeshinda mechi sita na zikitoka sare michezo sita, hivyo kuonekana hakuna mbabe wa mwenzake na hata katika mchezo wa leo timu yoyote...

  4. Ilikuwa lazima Xavi aitose Barcelona

    INAWEZEKANA ulikuwa uamuzi mgumu sana kuuchukua, lakini, Xavi Hernandez alikuwa na sababu zake za msingi zilizomfanya aitose Barcelona.

  5. Xavi awasubirisha stendi Barcelona

    GWIJI wa Barcelona, Xavi amegoma kurudi kuinoa timu hiyo kwa sasa akiwaambia mabosi wasubiri hadi mwisho wa msimu.

  6. Valverde atupiwa virago, Barcelona yatangaza kocha mpya

    Barcelona imemtangaza kocha mpya Quique Setien kujaza nafasi Ernesto Valverde aliyefukuzwa.

  7. Bahati yenu mmekimbia

    Kwa ushindi huo, Simba itaivaa Mtibwa Sugar katika fainali itakayopigwa keshokutwa Jumatatu kwenye uwanja huo huo

  8. Mayweather anavyopiga pesa kijanja

    Hivi karibuni alitangaza kwamba anataka kurudi tena ulingoni kuzipiga. Atarudi, atapiga pesa atatangaza kustaafu tena. Hii si mara ya kwanza, Mayweather, amekuwa akistaafu na kurudi ulingoni...

  9. Stars yaendeleza unyonge kwa Kenya

    TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars imemaliza katika nafasi ya nne baada ya kupoteza mchezo wake wa kuwania mshindi wa tatu wa mashindano ya Chalenji dhidi ya Kenya kwa mabao 2-1.

  10. Stars yatoka mikono mitupu Chalenji

    Mabao mawili ya Kenneth Muguna na Abdallah Hassan yameifanya timu ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' kutoka mikono mitupu katika mashindano ya Chalenji baada ya kukubali kipigo cha...

Previous

Page 49 of 98

Next