Kipa azichanganya Liverpool, Chelsea CHELSEA na Liverpool zinadaiwa kuwa katika vita kali ya kuiwania saini ya kipa wa Sunderland, Robin Roefs dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Pep akumbushia mkataba wake Man City KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ametuma ujumbe mzito kwa wanaodhani anaweza kuondoka klabuni hapo hivi karibuni baada ya kukumbusha bado ana mwaka mmoja zaidi kwenye mkataba wake wa sasa.
Juventus yaongeza kasi dili la Bernardo Silva JUVENTUS imepanga kuongeza juhudi zao dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kumsajili kiungo mshambuliaji wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, ambaye anaripotiwa...
Arsenal kuondoka uwanja wa Emirates VINARA wa Ligi Kuu England, Arsenal FC wanafikiria mpango wa kutotumia Uwanja wa Emirates kwa muda ili kuufanyia marekebisho yatakayoufanya kuwa wa pili kwa ukubwa kumilikiwa na timu za Ligi Kuu...
Kisa kichapo, Salah atupa kijembe kwa Slot NYOTA wa Liverpool, Mohamed Salah ameonekana kumrushia kijembe kocha wa timu hiyo Arne Slot katika ujumbe mzito aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii.
Wakala wa Lewandowski atua Italia BAADA kutangazwa kuwa ataachana na Barcelona mwisho wa msimu, wakala wa staa wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, 37, ameripotiwa kufunga safari hadi Italia kukutana na wawakilishi wa...
Kigogo ashusha presha ujenzi Uwanja Yanga KUMEIBUKA mjadala kwa baadhi ya wadau wa soka wakiona kama wamedanganywa hatua za kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Yanga, sasa kigogo mmoja wa timu hiyo ameibuka na kutuliza presha.
Black Stars ya kina Semenyo kuifuta rekodi ya Essien? Tangu ilipofuzu kwa mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia 2006, Ghana imeshindwa kufuzu kucheza fainali hizo mara moja tu 2018, lakini tatizo ni mwendo wa kusuasua kwa siku za karibuni pamoja na...
Spurs kumjengea ufalme Wembanyama TIMU ya San Antonio Spurs imeanza safari ya kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye thamani ya Dola 1.3 bilioni (zaidi ya Sh.3.39 trilioni), mradi unaoonekana kuendana na zama mpya za nyota wa...