Hii hapa ratiba ya gwaride la ubingwa Arsenal SHANGWE zinaendelea kwa mashabiki wa Arsenal baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Premier League kwa mara ya kwanza baada ya miaka 22.
Mbongo na kibarua cha kuibeba Qatar Kombe la Dunia NYOTA mwenye asili ya Tanzania, Akram Afif anatarajiwa kwa mara nyingine tena kuiongoza Qatar katika fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kujumuishwa kwenye kikosi cha awali cha wachezaji 34...
Kisa Enzo Maresca, Chelsea kuiburuza Man City EPL CHELSEA ipo tayari kufungua mashtaka ya kisheria dhidi ya Manchester City kufuatia mienendo yao ya siri ya kumtaka aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Enzo Maresca, isipokuwa kama matajiri hao wa...
Ahadi ya Rio kwa soka la Tanzania Nyota wa zamani wa Manchestsr United na England, Rio Ferdinand jana alianza rasmi ziara yake nchini kwa mapokezi makubwa huku akitoa ahadi ya kuhakikisha analisaidia soka la Tanzania kupiga hatua.
Marcus Rashford apendekezwa Real Madrid KOCHA mbwatukaji anayehusishwa na Real Madrid, Jose Mourinho anaripotiwa kupendekeza majina ya washambuliaji kadhaa anaotaka wasajiliwe ikiwa atajiunga na klabu hiyo na miongoni mwao ni...
Gary Neville aipa Arsenal ubingwa EPL NYOTA wa zamani wa Manchester United, Gary Neville amesema haoni jinsi Arsenal watakavyopoteza nafasi yao ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuichapa Burnley bao 1-0.
Real Madrid mpya ya Mourinho usipime MIAMBA ya soka la Hispania, Real Madrid inaripotiwa kuingia kwenye kipindi kipya cha mabadiliko makubwa endapo Jose Mourinho atarejea Santiago Bernabeu huku mipango ya kikosi kipya ikijumuisha...
Inter Miami, Saudi Arabia zamnyatia Casemiro KATIKA wiki za hivi karibuni, Casemiro amekuwa kama anafanya ziara ya kuaga Ligi Kuu England na mechi ya Jumapili kati ya Manchester United na Nottingham Forest ilikuwa ya kipekee sana kwa...
Aubrey Modiba anautaka ubingwa CAFCL Beki na kiungo wa Mamelodi Sundowns, Aubrey Modiba, amewataka wachezaji wenzake kubaki na mtazamo chanya kuelekea mchezo wa mkondo wa pili wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), dhidi ya...
Gary Neville ashtushwa na taarifa za kuondoka kwa Guardiola Habari za ghafla kuhusu kuondoka kwa kocha wa Manchester City, Pep Guardiola zimegonga vichwa vya habari na kumshtua mchambuzi wa soka Gary Neville, huku zikitokea katikati ya mchezo wa Arsenal...