HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 1 Mwandishi mahiri wa riwaya nchini, Faki A. Faki anakuja na mzigo mpya kabisa wa kisa cha upelelezi, mapenzi na maisha ya kawaida. Binti wa bilionea anatekwa na magaidi ambao wanataka pesa...
Refa wa Arsenal apewa gemu ya Barca Ulaya MWAMUZI, Michael Oliver ataonekana tena uwanjani kucheza mechi ya soka licha ya kuripotiwa kutumiwa meseji za vitisho kutokana na tukio lake la kumtoa kwa kadi nyekundu nyota wa Arsenal, Myles...
ATM YA WIKI: Walker pesa zinamfuata KATIKA dirisha hili la usajili, beki wa Manchester City, Kyle Walker ameachana na timu hiyo kujiunga na AC Milan kwa mkataba wa mkopo wa nusu msimu ikidaiwa anataka kubadilisha mazingira baada ya...
PRIME Sintofahamu kupewa uraia wa 'mchongo' wachezaji Singida Wachezaji waliopewa uraia ni Emmanuel Keyekeh, ambaye ni raia wa Ghana, Josephat Bada wa Ivory Coast na Muhamed Camara kutoka Guinea.
Mashabiki Simba wabebeshwa faini ya CAF Ahmed alisema kuwa mchango huo utumwe moja kwa moja katika namba ya klabu.
GBT kudhibiti madubwi haramu michezo ya kubahatisha,” alisema Mbelwa na kuongeza, pamoja na mchezo wa dubwi upo kisheria, wapo wachezeshaji wanaouendesha kinyume cha sheria bila leseni. “Hawa ndio wanaosababisha sintofahamu...
PUMZI YA MOTO: Kayoko ‘akurupushwa usiku wa manane’ kuchezesha Ligi Kuu TANGU achezeshe mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga, Oktoba 19 mwaka huu, mwamuzi Ramadhan Kayoko ‘alisahaulika’ kwenye viwanja vya Ligi Kuu Bara.
Simba kuwajibika kung’olewa viti kwa Mkapa Vurugu ziliibuka jana Desemba 15, 2024 katika mechi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baina ya Simba dhidi ya CS Sfaxien, ambapo Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1.
Pmbet promo code | promo code ya kujiunga pmbet Promo code ya pmbet ni code maalumu ambayo ni yalazima ili uweze kufungua account mpya ya kubashiri katika tovuti ya pmbet.
Diva, Niffer kuhojiwa na polisi Dar Jeshi la Polisi linawashikilia kwa mahojiano ya kina Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) maarufu Niffer kwa tuhuma za kuchangisha fedha kwa ajili ya walioporomokewa na ghorofa eneo la Kariakoo.