Mwendo wa kutafutana UEFA! ARSENAL inashika usukani katika mchakamchaka wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye hatua ya makundi inayochezwa kwa mfumo wa ligi baada ya kukusanya pointi 15 katika mechi tano ilizocheza.
Man City yailiza Madrid nyumbani kwao Manchester City imepindua matokeo kutoka kuwa nyuma na kupata ushindi wa mabao 2-1 kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid, ambao ni mabingwa wa kihistoria wa mashindano hayo, na kumwacha...
Fainali za Afrika 2025 zamtisha Amorim KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anafikiria kuomba kucheleweshwa kwa safari ya mastaa wake watakaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (Afcon), kutokana na ratiba ya mechi zijazo.
Pogba arudi uwanjani Monaco ikilala ugenini Uwanja wa Stade Louis II ulifurika watazamaji kuliko ilivyozoeleka. Wapenzi wa soka walikuwa wamebeba mabango mekundu na meupe, wengine wakiwa na jina moja tu lililoangaza juu yao, POGBA.
Mashujaa yabanwa nyumbani, Johola azidi kufunika MAAFANDE wa Mashujaa ya Kigoma leo jioni ilishindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kubanwa mbavu nyumbani na Dodoma Jiji na kutoka suluhu, huku kipa wa timu hiyo, Erick...
Maema: Hatuna cha kujitetea, tumejiangusha wenyewe KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Neo Maema, amesema kitendo cha timu hiyo kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, hakuna wa kulaumiwa zaidi ya wachezaji...
Shambulio, utekaji vyamuibua Davido SUPASTAA na mkongwe wa muziki aliyeshinda tuzo nyingi, Davido amekemea kuhusu utekaji wa wasichana 25 katika jimbo la Kebbi na shambulio lililotokea Kwara.
Kocha Spurs ataja siri ya kichapo cha Arsenal Kocha wa Tottenham Hotspurs, Thomas Frank, amekiri kikosi hicho kilicheza chini ya kiwango, hali iliyosababisha kupoteza mechi ya Dabi ya London ya Kaskazini dhidi ya Arsenal iliyoibuka na...
Arsenal yailaza Bayern ikiendeleza rekodi ya ushindi 100% NONI Madueke amefunga bao lake la kwanza akiwa na Arsenal tangu atue msimu huu akitokea Chelsea, huku Washika Bunduki hao wa London wakiendeleza rekodi yao ya ushindi asilimia 100 kwenye Ligi ya...
Chama la Wana Lajinasua mkiani WAKATI mechi za Ligi ya Championship zikitarajiwa kuendelea tena keshokutwa Jumapili, Stand United (Chama la Wana), baada ya kucheza mechi sita mfululizo bila kupata ushindi hatimaye juzi...