Mkwanja wa Trent kumbakiza Salah LIVERPOOL ipo tayari kumpa Mohamed Salah anachotaka baada ya kumtoa Trent Alexander-Arnold kwenye vitabu vyao vya hesabu kwa maana ya mishahara ya beki huyo Mwingereza, imeelezwa.
Kama una mtoto amemaliza Kidato cha Sita, matokeo yametoka! Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Said Mohamed amesema ufaulu kwa ujumla mwaka huu umepanda kwa asilimia 0.26 ukilinganisha na mwaka uliopita.
Lunyamila anateseka WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila, amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala na anapumua kwa msaada wa mashine.
Mbasha: Kwenye tuhuma mpya tena MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha hivi karibuni amedaiwa kutelekeza watoto wawili aliozaa na wanawake wawili tofauti na kwenda kwa mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa na uwezo wa kifedha...
SuperSport yaitema Gor Mahia KITUO maarufu cha televisheni cha SuperSport cha Afrika Kusini kimesusa kurusha moja kwa moja mechi yoyote itakayohusisha klabu ya Gor Mahia kwenye Ligi Kuu Kenya.
Madee amtuliza Nay Wa Mitego Pengine unaweza kufikiri bifu lao limeisha kutokana na wao wanavyodai lakini kutokana na maneno wanayoongea wote wawili hali inaonekana bado si nzuri.
Kajala ashangaa wanaotafuta kiki Bongo kupitia waume za watu STAA kiwango kunako filamu Bongo, Kajala Masanja kwa mara ya kwanza ameweka wazi kuwa hakuna kitu ambacho anakichukia katika maisha yake kama mtu kumbambikia kiki ambazo zinahusiana na kutembea...
Mtwara kufanya mambo ligi kuu Ndanda ipo kwenye nafasi ya pili kutoka mkiani na pointi 23 katika ligi yenye timu 16, Simba ndiyo mabingwa wa msimu huu.
Wolper, Hamornize watibuana Instagram Sarah na Wolper wamekuwa kwenye vita ya mapenzi huku ikidaiwa chanzo ni penzi la Harmonize
He! Mo Salah kakataa tuzo huko England MOHAMED Salah juzi Jumamosi alipiga hat-trick wakati Liverpool ilipojipigia Bournemouth mabao 4-0 na kukamatia usukani wa Ligi Kuu England.