Palmer afanya yake, Chelsea ikitwaa Kombe la Dunia la Klabu Cole Palmer amekuwa shujaa wa Chelsea baada ya kuiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya PSG katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia la Klabu uliochezwa kwenye Uwanja wa...
Amorim aambiwa hakuna kujitetea KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameambiwa hakutakuwa na cha kujitetea tena msimu ujao kwa usajili utakaofanywa dirisha hilo na muda wa kuwa na timu pre-season.
Dah! Kisa dili, baba Gyokeres amwaga machozi Taarifa za hivi karibuni zinaeleza pande hizo mbili zimekubaliana kwa kauli tu juu ya ada ya uhamisho inayofikia Pauni 55 milioni , pamoja na nyongeza ya Pauni 8.6 milioni kama bonasi lakini...
Dili la Gyokeres sarakasi kibao SAKATA la straika Viktor Gyokeres kuachana na Sporting Lisbon limechukua sura mpya baada ya mkali huyo wa kimataifa wa Sweden kuwachapa barua ya kisheria waajiri wake.
Mbeumo achaguliwa timu Man United, Spurs STAA Bryan Mbeumo ametakiwa achague kwenda Tottenham Hotspur badala ya Manchester United baada ya vita ya miamba hiyo kuwania saini yake kuzidi kupamba moto.
Aussems awekwa kando Singida BS, Gamondi atajwa Leo asubuhi Singida ilitoka sare ya mabao 2-2 na Tabora United kwenye Uwanja wa Al Hassan Mwinyi, mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ulitarajiwa kupigwa jana lakini ukasogezwa mbele kutokana na uwanja...
PRIME Yanga yamwekea mtego winga Azam FC YANGA inapiga hesabu za kuwa na winga wa maana anayetumia mguu wa kushoto kwa msimu ujao na akili hiyo imetua kwa mtu mmoja mtunguaji ndani ya Azam FC.
Nusu fainali ya vigogo Ulaya, Ronaldo, Lamine na Mbappe UEFA Nations League baada ya kushinda michezo yao ya hatua ya robo fainali juzi.
Liverpool itachangamka! Arne Slot kufunga busta LIVERPOOL imepanga kufungulia pochi dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi ili kumpatia Kocha Arne Slot kikosi kitakachokuwa na uwezo wa kutetea taji la Ligi Kuu England watakalolibeba...
Spurs, Man United ni 'Do or Die' HATUA ya robo fainali ya michuano ya Europa League kwa mechi za mkondo wa pili inatarajiwa kufanyika leo ambapo timu zote nane zitashuka dimbani kwenye viwanja mbalimbali kupambania tiketi ya...